Bahatinasibu
Member
- Oct 22, 2021
- 73
- 77
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba kufahamishwa mbinu mbalimbali za kudhibiti wezi wa mifugo shambani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta mbwa wazuri wa2 wafuge. Hakuna kenge atakae sogelea shamba lako...Nafuga mbuzi na kuku ila majirani wanaibiwa sasa nilikua nafikiri kuweka mlinzi ila sasa bado haijafikia kunilipa ndo maana nikaomba ushauri. Kuweka mlinzi kwa sasa itakuwa gharama.
Kuku ni wa kienyeji wapo kama kumi na saba pamoja na wadogowadogo, mbuzi ninao 10 tu watatu kati ya hao 10 ni wadogo
Asante kwa mawazo nduguTafuta mbwa wazuri wa2 wafuge. Hakuna kenge atakae sogelea shamba lako...
Ukiweka mbwa makenge watakuja na nyama yeye sumu watampa mbwa atakufa papo hapo na wataiba mifugo yako kirahisi... Mi vyema ukafunga alarms system ambayo itakuwa inatoa taarifa iwapo watu watasogelea makazi ya mifugo yako.Tafuta mbwa wazuri wa2 wafuge. Hakuna kenge atakae sogelea shamba lako...
Ndugu hii si ni gharama sana?Ukiweka mbwa makenge watakuja na nyama yeye sumu watampa mbwa atakufa papo hapo na wataiba mifugo yako kirahisi... Mi vyema ukafunga alarms system ambayo itakuwa inatoa taarifa iwapo watu watasogelea makazi ya mifugo yako.
Sio gharama nadhani gharama yake itakuwa inaligana sawa na gharama ya kumhudumia mbwa utakaye mfugaNdugu hii si ni gharama sana?
Ntaangalia uwezekanoSio gharama nadhani gharama yake itakuwa inaligana sawa na gharama ya kumhudumia mbwa utakaye mfuga
Mbwa ukiwafuga huwa tunawafunguwa kwa zamu huruhusiwi kufungua Mbwa kwa pamoja na uwazoweshe Mbwa wako kulia ndani ya mabanda yao, Mbwa ni suluhisho kubwa sana ktkt ulinzi, pia usizoeshe watu wengi kila mara kusogelea mabanda yako na kuona mwenendo wa ufugaji wako kwa ndani.Ukiweka mbwa makenge watakuja na nyama yeye sumu watampa mbwa atakufa papo hapo na wataiba mifugo yako kirahisi... Mi vyema ukafunga alarms system ambayo itakuwa inatoa taarifa iwapo watu watasogelea makazi ya mifugo yako.
Kwa kweli umenifungua macho, ntalifanyia kazi hiliMbwa ukiwafuga huwa tunawafunguwa kwa zamu huruhusiwi kufungua Mbwa kwa pamoja na uwazoweshe Mbwa wako kulia ndani ya mabanda yao, Mbwa ni suluhisho kubwa sana ktkt ulinzi, pia usizoeshe watu wengi kila mara kusogelea mabanda yako na kuona mwenendo wa ufugaji wako kwa ndani.
Kwa babu? Sijakupata vizuri umemaanisha nini?Kwa babu utaenda?..weka na hio option
Zungushia fensi uweNafuga mbuzi na kuku ila majirani wanaibiwa sasa nilikua nafikiri kuweka mlinzi ila sasa bado haijafikia kunilipa ndo maana nikaomba ushauri. Kuweka mlinzi kwa sasa itakuwa gharama.
Kuku ni wa kienyeji wapo kama kumi na saba pamoja na wadogowadogo, mbuzi ninao 10 tu watatu kati ya hao 10 ni wadogo
Mpe kazi mshana afanye yake hapo shambanKwa babu? Sijakupata vizuri umemaanisha nini?