Bahatinasibu
Member
- Oct 22, 2021
- 73
- 77
- Thread starter
- #21
Kiongozi bei zake zipojeUkipata hela tafuta kitu unaitwa stun gun mlinzi akae nacho. Mwizi hata awe baunsa atakua neutralized. Hii kitu inapiga short ya umeme kwa mlengwa mpaka anajikojolea. Benson Arusha walikua Nazi lakin nasikia container ilippkuja ya pili ikazuwiliwa bandarini. Lakin unaweza kuagiza mwenyewe