Msaada, anayeweza kumsaidia FIGO ndugu yangu tutamzawadia

Msaada, anayeweza kumsaidia FIGO ndugu yangu tutamzawadia

Fadhili Paulo

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2011
Posts
3,211
Reaction score
993
Habari wana jf

Nina ndugu yangu ana miaka 41 mwanaume, kwa bahati mbaya FIGO zake zote zimefeli. Tunaomba kwa anayeweza kumsaidia figo 1 afanye hivyo nasi tutamzawadia mtu huyo milioni 40.

Aliyetayari awasiliane nami kwa namba 0769142586 sasa.

Nipo dar es salaam, popote ulipo tutakutumia usafiri.

Haya jamani nisaidieni sasa.
 
Fadhili Paulo, nyie hamna upendo hata kidogo kwa ndugu yenu.
Hivi mnaona huto tu milioni arobaini ni twa maana sana kuliko uhai wa ndugu yenu?
Au unataka kuniambia kuwa kwenye ukoo wenu mliumbwa na figo mojamoja tu?
Hebu msaidieni mwenzenu figo, acheni kuwalaghai watu kwa harufu ya pesa.
Na tukisikia mtu kauawa na kuchomolewa figo tutakuangalia kwa jicho la ki freemaso
n
images
Habari wana jf

Nina ndugu yangu ana miaka 41 mwanaume, kwa bahati mbaya FIGO zake zote zimefeli. Tunaomba kwa anayeweza kumsaidia figo 1 afanye hivyo nasi tutamzawadia mtu huyo milioni 40.

Aliyetayari awasiliane nami kwa namba 0769142586 sasa.

Nipo dar es salaam, popote ulipo tutakutumia usafiri.

Haya jamani nisaidieni sasa.
 
aha am ready but at least $50,000/= in cash since
your offer is like$ 20,000/=
 
Chonde kwa wale wapendao mafanikio ya ghafla!!!
Jiepusheni na tamaa, usikubali kwenda mwenyewe, usikute viungo muhimu vya binadamu vinatakiwa nawe utarudishwa kwenye jeneza....!
NB:
Suala hilo huwa lipo ila inatia walakini wao hawana ndugu au jamaa anayehitaji hizo 40millioni?
Wewe ujitoleaye kwenda kulamba Bingo ungeza akili yako mara kumi zaidi!!! Usije kuwa kama sultani mangungo.....ukadhani umesaini figo moja kumbe ni mbili
 
Wakuu, Tanesco wamezinguwa sana, nitawapa updates usiku huu huu. Ahsanteni wote.
 
Kwanza biashara ya aina yoyote ya viungo vya binadamu ilipigwa marufuku duniani kote!
 
Fadhili Paulo, nyie hamna upendo hata kidogo kwa ndugu yenu.
Hivi mnaona huto tu milioni arobaini ni twa maana sana kuliko uhai wa ndugu yenu?
Au unataka kuniambia kuwa kwenye ukoo wenu mliumbwa na figo mojamoja tu?
Hebu msaidieni mwenzenu figo, acheni kuwalaghai watu kwa harufu ya pesa.
Na tukisikia mtu kauawa na kuchomolewa figo tutakuangalia kwa jicho la ki freemaso
n
images
mkuu Bujibuji Utamuuwa Mtu kwa kumchomowa Figo je Kama Anao Ugonjwa AIDS Ukimwi Figo hilo litaweza kufanya kazi? lazima kwanza huyu mwenye Figo kabla ya kutolewa Figo lake apimwe na Daktari ili ajulikane Afya yake je hana maradhi? Kama anayo Maradhi figo lake pia halifai kutolewa Mkuu nawasilisha hivyo.
 
hela ipo hamna longolongo nipe namba zako
 
Fadhili Paulo kwanini wewe usijitolee hilo figo?
Naomba jibu kwa hilo kwanza!!
 
Last edited by a moderator:
Mmh ndugu wa kweli hujitolea kwa lolote, Unataka msaada au unanunua?
 
Haya waungwana. Nashukuru wote waliojitoa kwa hali na mali, wapo waliokuwa tayari kutoa bure na wengine walihimiza maombi. Nawashukuru pia hata wale walioleta vijembe na kejeli.

MGONJWA WETU MUNGU AMEMPENDA ZAIDI, LEO JIONI HII AMETUTOKA DUNIANI. Jitihada zetu hazikufanikiwa kwani hali ilibadirika ghafla kabla hata ya kubadilishiwa figo.

Ahsanteni sana.
 
Kwani nyie ndugu zake mko zaid ya 1 mna figo moja moja mbona mnakuwa was e nge toeni moja moja mumchangie hamtaki kanunueni kariakoo kwa wapemba ni laki4 moja
 
Mkuu Fadhili pole sana kwa kuondokewa na nduguyo mpendwa!
 
Kuna mmoja amefariki jana nae figo ziliferi wanaenda kumzika Makete
 
Back
Top Bottom