Si kweli Mkuu, Mataperi wapo kila sehemu, hata Mikoani ni wengi sana, sema Madalali wengi wa Dar sio Waaminifu, Utaperi ni Fani Mkuu.
Na watu wengi wa Mikoani ni rahisi kutapeliwa kwa sababu ya Tamaa ama Ubinafsi, wakishatapeliwa lawama zote kwa Wakazi wa Dar!
Ni Vile tu mtoa mada hajataka mtu wa kati, ningemuunganisha na soko la Tegeta, Tegeta kuna Soko zuri la Mbao, na Buyers ni really, soko ni kubwa na wanaenda kununua wenyewe Mbao Iringa, wako Buyers wakubwa wanaleta Malori yao wenyewe, pia wapo Buyer wadogo wanachangishana watu kadhaa wanaenda kuleta mzigo!
Sasa kama seller anaweza kuleta mzigo mwenyewe anauza tu Cash na Chap kwa haraka!