Msaada: Anko wangu amechanganyikiwa

Msaada: Anko wangu amechanganyikiwa

Hio ni nchi ya kusadikika. Watu kwa kujikweza eti unalalamika juu ya tumizi la laki 1 per day are you serious? Mwanzo wa mada nilijua umekosea kutype kumbe duh. Japo maisha hatufanani ila sidhan kama hapo kuna uhalisia
 
Mtafutie Mama ake mdogo na Linda Kila kitu kitakuwa sawa..
 
Ungeongea na aunt, zile hela za mboga alirudisha angempa Tu Kaka yake. Manake mzee ruge kamaua kustarehe tu keki.

Pole sana.tutakukumbuka kwenye maombi
 
Ni mjomba wangu wa nne yaani baada ya mama anafuata anko Gervas Tibaijuka then anakuja yeye.

Tangu afukuzwe kazi mjomba wangu amekuwa ni mtu wa kunywa pombe na kula wanawake tu. Imefikia hatua hadi anashindwa hata kulala kwake.

Nyumbani kwake anaacha tumizi la Tsh. 100,000 tu kwa siku. Just imagine familia ya watu wanne unaachaje tumizi la laki moja tu? Unataka familia ife njaa?

Mbaya zaidi mtoto wake wa kwanza (Grace) amemrudisha kutoka Massachusetts, Marekani eti amekosa ada. Na wakati anaonga mahawala zake hadi Kluger!

Juzi ndio ametuacha hoi wana ukoo eti ameamua kumpeleka Steven, mtoto wake wa pili na wa mwisho shule. Tukamuuliza utampeleka wapi? Eti akasema DIA! ile shule ya Dar Es salaam International Academy.

Masikini mjomba! Kweli maisha ni kupanda na kushuka. Amefikia hatua ya kumpeleka mtoto shule ya elimu bure kiasi hicho! Eti mtoto Kindergarten nyie mnaita chekechea wanalipa Tsh. Milioni 27 tu kwa mwaka. This is nervous jamani.

Anakoelekea anaenda kudhalilisha ukoo wetu. Sitakubali cousin wangu asome shule za ajabu kama hizo. Japokuwa sina ajira kwa sasa. Nitajitahidi mwakani nimlipie ada asomee kama sio US basi UK.

Mnapokuwa kwenye sala naomba mumkumbuke mjomba wangu ili aache starehe na kutelekeza familia yake kiasi hiki.

Jambo Tanzania.
Nilivyofika kwenye laki 1 nikarudi kusoma jina juu...
Kumbe ni yuleyule Jr...

#Hongera
#YNWA
 
Jiangalie kwenye kioo vizuri,

Una uhakika kwamba nywele zako hujanyoa kiduku mtoa mada.
 
Ni mjomba wangu wa nne yaani baada ya mama anafuata anko Gervas Tibaijuka then anakuja yeye.

Tangu afukuzwe kazi mjomba wangu amekuwa ni mtu wa kunywa pombe na kula wanawake tu. Imefikia hatua hadi anashindwa hata kulala kwake.

Nyumbani kwake anaacha tumizi la Tsh. 100,000 tu kwa siku. Just imagine familia ya watu wanne unaachaje tumizi la laki moja tu? Unataka familia ife njaa?

Mbaya zaidi mtoto wake wa kwanza (Grace) amemrudisha kutoka Massachusetts, Marekani eti amekosa ada. Na wakati anaonga mahawala zake hadi Kluger!

Juzi ndio ametuacha hoi wana ukoo eti ameamua kumpeleka Steven, mtoto wake wa pili na wa mwisho shule. Tukamuuliza utampeleka wapi? Eti akasema DIA! ile shule ya Dar Es salaam International Academy.

Masikini mjomba! Kweli maisha ni kupanda na kushuka. Amefikia hatua ya kumpeleka mtoto shule ya elimu bure kiasi hicho! Eti mtoto Kindergarten nyie mnaita chekechea wanalipa Tsh. Milioni 27 tu kwa mwaka. This is nervous jamani.

Anakoelekea anaenda kudhalilisha ukoo wetu. Sitakubali cousin wangu asome shule za ajabu kama hizo. Japokuwa sina ajira kwa sasa. Nitajitahidi mwakani nimlipie ada asomee kama sio US basi UK.

Mnapokuwa kwenye sala naomba mumkumbuke mjomba wangu ili aache starehe na kutelekeza familia yake kiasi hiki.

Jambo Tanzania.
Kuwaelewa Hawa mpaka aje Kaka yao Kiduku Lilo
 
Back
Top Bottom