kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,615
- 1,805
Naenda moja kwa moja ktk hili jambo kuna mtoto wajirani yangu huyu mtoto ana miaka 8 sasa nahisi ana tatizo la kiafya au kimaumbile .
Kuna matukio anayoyafanya hata wazazi wake wanashindwa kuelewa kadharika kwa majirani .
1 dogo ana tuhuma za kusimamisha uume pale anapoona hata paja la mwanamke aliyemzidi umri. Kuna mama mmoja mwenye watoto watatu anasema kuna siku alikuwa amekaa vibaya yule dogo akaanza kujiminyaminya akamkalipia ainuke ahamadi dogo mbele kumetuna akamkanya
Yapo mengi tufupishe sasa nyie wataalamu huyu dogo atakuwa anaumwa au ameanza kubalehe?
Msaada wenu unahitajika
Kuna matukio anayoyafanya hata wazazi wake wanashindwa kuelewa kadharika kwa majirani .
1 dogo ana tuhuma za kusimamisha uume pale anapoona hata paja la mwanamke aliyemzidi umri. Kuna mama mmoja mwenye watoto watatu anasema kuna siku alikuwa amekaa vibaya yule dogo akaanza kujiminyaminya akamkalipia ainuke ahamadi dogo mbele kumetuna akamkanya
Yapo mengi tufupishe sasa nyie wataalamu huyu dogo atakuwa anaumwa au ameanza kubalehe?
Msaada wenu unahitajika