TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Kilq unapoongea tuuIle yahitaji moyo kuvaa kila saa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilq unapoongea tuuIle yahitaji moyo kuvaa kila saa
Unashida gani? Maana hizo ni dawa za watu wenye either maumivu makali au ambao wala ulabu wa ambao huwapeleke kuwa na kurukwa akiliSijui hata nifanyeje?
Nilipata tatizo la ganzi mwilini, nikatumia vodonge vya Pregabalin miezi minne. Sasa kila nikiongea na watu nawarushia mate Kama manyunyu yanapuliza.
Sasa watu hunikwepa au kuweka mikono usoni na mdomoni kwa tahadhari. Sikuwa na hili tatizo kabla.
Je nifanye nini? Tatizo litaisha?
Rudi hospital ukainane na DaktariMkuu nimemaliza dawa mwaka umepita Sasa, Ila side effect ndiyo hiyo, mate kutoka na kuruka niongeapo.
NdiyoKilq unapoongea tuu
Miguu kufa ganziUnashida gani? Maana hizo ni dawa za watu wenye either maumivu makali au ambao wala ulabu wa ambao huwapeleke kuwa na kurukwa akili
Ndiyo wakupe hizo? Hebu rudi tena hospital mkuuMiguu kufa ganzi