MSAADA: Baada ya kutumia dawa ya Pregabalin(ligaba), natokwa na mate Kama manyunyu napozungumza na watu, nifanyeje?

MSAADA: Baada ya kutumia dawa ya Pregabalin(ligaba), natokwa na mate Kama manyunyu napozungumza na watu, nifanyeje?

Sijui hata nifanyeje?
Nilipata tatizo la ganzi mwilini, nikatumia vodonge vya Pregabalin miezi minne. Sasa kila nikiongea na watu nawarushia mate Kama manyunyu yanapuliza.

Sasa watu hunikwepa au kuweka mikono usoni na mdomoni kwa tahadhari. Sikuwa na hili tatizo kabla.

Je nifanye nini? Tatizo litaisha?
Unashida gani? Maana hizo ni dawa za watu wenye either maumivu makali au ambao wala ulabu wa ambao huwapeleke kuwa na kurukwa akili
 
Pole sanaa ila Pregabalin inatibu matokeo ya Ugonjwa unaoathiri Nerve system tiba sahihi ilibidi unywe Nat b au Neurosupport tabs na hizo ligaba sio ligaba peke ake...!! So kiufupi tatizo limepoa tu ila bado unalo.. Pole sana
 
Back
Top Bottom