1*3Unatumiaje hio misoprostol?
Hizo Miso zenyewe zinakuaga na shida ya kutotoa uchafu wote wakati mwingine. Solution hapo ni kwenda kusafishwa tu. Kwanza anapewaje sababu za kijinga hivyo anasikiliza.Yaani mpenzi wako anajiweka kwenye hatari ya kupata maambukizi na wewe unamuangalia tu kisa kasema anaogopa kuchunguliwa?
Haupo serious, unaulizia hadi misoprostol wakati kuna option ushagewana hospitali!!!?
Mi mwenyewe nimeshangaa ni sababu ya hovyo mnoHizo Miso zenyewe zinakuaga na shida ya kutotoa uchafu wote wakati mwingine. Solution hapo ni kwenda kusafishwa tu. Kwanza anapewaje sababu za kijinga hivyo anasikiliza.
Ngoja asiende kusafishwa afu baada ya wiki tatu alete mrejeshoMi mwenyewe nimeshangaa ni sababu ya hovyo mno
Tatizo lake ni dogo sana. Inategemea mazingira mnayoishi mkuu. PoleniMubarikiwe nyote
Nisaidieni kwa anaejua mke wangu hua anakawaida ya kupunguzia akiwa na mimba (hua anapata hedhi japo kidogo) sasa katika mimba hii naona imekua nno yaani ametoka damu nyingi zaidi ya siku zake za kawaida baada ya kuenda hospital tukaambiwa mimba imechoropoka labda ka kazi ngumu ama sababu nyengine.
Kwa sababu ya maumivu makali ikabidi tupige Ultrasound ikabainika kua anauchafu katika fuko lake la uzazi (incomplete Abortion) tukashauriwa asafishe.
Tatizo amegoma kabisa kusafishwa anasema anaogopa maana kasikia inauma sana pia anasema kuangaliwa uchi wake na mtu mwengie haiwezekani.
Naombeni dawa ya kuweza kusafisha ili atumie maaana ameshapoteza damu nyingi.
Akiwa anaenda kuzaa anaficha uchi?Eti anasema kuna chuma linaitwa mdomo wa bata unaingizwa nacho kwa ajili sijui kama ya kutanuliwa hilo nalo pia analiogopa na daktari ni wa kiume pia ni shida ya pili eti anaona aibu kumuonesha papuchi.
Huku tandale ni 20000/= tuOptionaly nenda pharmacy kwa dr. Ambaye ni rafiki yako mnayeshibana sana. Huwa kuna vidonge vinauzwa elf 30 kama sikosei mm nlivitumia kwa mschana wanagu alitoa mimba haikutoka yote. Mwambie akununulie hiyo dawa. Dam itatoka kwa mabonge na baada ya wiki moja atakaa sawa. Vidonge hivi vinauzwa kama madawa ya kulevya anayekuuzia lazima awe anakufahamu
Hiv vinauzwa 10k jamaa anavyovisema vinaitwa Combicit au micofgtVinaitwa misoprostol
Huyu ni mtoa mimba...eti mdomo wa bata, aliyajuaje yote hayo?Akiwa anaenda kuzaa anaficha uchi?
Anyway hayo mambo yote kayajulia wapi ama ndiyo mambo ya experience!
Ndo maana mimba hazijishikiliii?Huyu ni mtoa mimba...eti mdomo wa bata, aliyajuaje yote hayo?
Mi nacheka wapi...huyo demu ni msanii kinoma "eti sitaki dokta aone uchi wangu"na blah blah kibaoNdo maana mimba hazijishikiliii?
Hahahaaa
Jamaa anamdekeza huyo manzi.