Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Kwani hajazaa bado mpaka aogope kuchunguliwa utupu wake na mwanaume?
Aende akasafishe private hospital huwa wanachoma ganzi na wengine nusu kaputi wala hayo maumivu anayoambiwa yapo hatayasikia. Huduma nzuri ni pesa yako tu. Kuzembea zembea kutamcost baadae
Aende akasafishe private hospital huwa wanachoma ganzi na wengine nusu kaputi wala hayo maumivu anayoambiwa yapo hatayasikia. Huduma nzuri ni pesa yako tu. Kuzembea zembea kutamcost baadae