Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Nakumbuka kuna mwalimu wangu secondary alikuwa na tatizo hili la kifafa...inashauriwa mtu huyo akienda sehemu asiwe peke yake pia asiwe karibu na moto au jiko, sisi tulikuwa tunamsindikìza mwalimu nyumbani