Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hzo hbrSoma ushauri wa watu ila ukitaka mtaalam kuna mtu namfahamu uzuri
Hkn watu mle wababaishaji tuUsisuburi wateja wa kuja dukani anza kupost mitandaoni
Piga picha nguo vizuri iwekee details post
Sponser ads utauza tu
Unakuta kafungua na kulipa Kodi laki tano Ila uoni mtu akiingia dukani siku nzima ila kila siku yupobiashara ya nguo siku hizi ni MTANDAONII NDUGU YANGUUU kama una ofisi ondoa shaka jiongezee funguaa account insta...fb uwe unapiga picha unapost yani utawapata tu wakitaka kuja ofisini unawaelekeza ila usiuzee mironyooo sanaa..!! na uwe muaminifu tu kwa wateja...kule sinza frame kubwa huoni mteja akiingia hata masaa matatu pamepoaa balaaa ila boda wanaenda kupeleka delivery za kutosha. JIONGOZE USIKIMBIE FRAME
Mm nilifanya hvyo nilifungua duka la vifaa vya umeme mahali fln ddm kumbe ktk mitaa hyo wanataka vifaa vya ujenzi nilianza kubadili taratibu nikaanza kuuza vifaa vya ujenzi siku hz mauzo syo haba kwa Kweli tofauti na mwanzo nakah week zijauza chochote ila Sasa HV aisee Niko vzr pesa naona na Sasa nataka niwawekee wall puttin za jkbadilisha bidhaa! Tathmini walaji wanataka nn
Sahih kbsaaa awali kbsa hata kuku wa kienyeji halimzungu ukitaka ukosane nae mletee mayai ya kienyeji
Hili ni tatizo kubwa, Watu wengi wameacha biashara kwa kuhisi wamerogwa au wana gundu.Waheshimiwa nahitaji msaada kwenye hili, hivi inakuwaje mtu hauuzi kabisa dukani kwako kwa siku karibia 20 yani kila siku patupu tatizo linakua ni nini?
Binafsi nimefungua frame nauza mitumba ya kike(gauni) lakini niliuza siku 5 za kwanza tu ila sasa hivi mambo magumu mzigo ni kama umechacha sijafikia hata nusu ya gharama za mzigo.
Kuku wa kienyeji wana ubaya gani?Sahih kbsaaa awali kbsa hata kuku wa kienyeji hali
Hkn watu mle wababaishaji tu
kuku wanachemsha kisha wanamwaga supuSahih kbsaaa awali kbsa hata kuku wa kienyeji hali
Kaka mm nimefanaya kazi tarangire lodg and [emoji554] ltd ya kampuni ya hoop hakuan hata siku Moja nimeona mzungu anashobokea vyakula vya kiafrica haswa makuku Yuko tayari kula nguruwe tena awe wa kizungu huku Israel ila siyo kuagiza kuku kianyeji tena hakna mayai wa la kuku wa kienyeji anae uzwaa ndani Lila kitu no kiasasaKuku wa kienyeji wana ubaya gani?
Alaa kwani wewe ndiye muuliza swali? Au na wewe biashara yako inasumbua?Achana na hzo hbr
Noted [emoji188]biashara ya nguo siku hizi ni MTANDAONII NDUGU YANGUUU kama una ofisi ondoa shaka jiongezee funguaa account insta...fb uwe unapiga picha unapost yani utawapata tu wakitaka kuja ofisini unawaelekeza ila usiuzee mironyooo sanaa..!! na uwe muaminifu tu kwa wateja...kule sinza frame kubwa huoni mteja akiingia hata masaa matatu pamepoaa balaaa ila boda wanaenda kupeleka delivery za kutosha. JIONGOZE USIKIMBIE FRAME
Nguruwe wa kizungu???[emoji28][emoji28][emoji28]Kaka mm nimefanaya kazi tarangire lodg and [emoji554] ltd ya kampuni ya hoop hakuan hata siku Moja nimeona mzungu anashobokea vyakula vya kiafrica haswa makuku Yuko tayari kula nguruwe tena awe wa kizungu huku Israel ila siyo kuagiza kuku kianyeji tena hakna mayai wa la kuku wa kienyeji anae uzwaa ndani Lila kitu no kiasasa
Huko singida vijijini wanapopatikana kwa wingi hakuna vyoo so watu hujisaidia vichakani na ndo hao kuku hushinda kutwa kudonoa vinyesi vya wanyama na binadamu, kuku wa kienyeji hawatibiwi wala kupewa chanjo so ni rahisi kubeba vimelea vya magonjwa hivyo mzungu lazima azingatie while mm mmatumbi nabugia tu nnofu bila kuhoji chochoteKuku wa kienyeji wana ubaya gani
hahaha hapo nimeelewa vizuri sasaHuko singida vijijini wanapopatikana kwa wingi hakuna vyoo so watu hujisaidia vichakani na ndo hao kuku hushinda kutwa kudonoa vinyesi vya wanyama na binadamu, kuku wa kienyeji hawatibiwi wala kupewa chanjo so ni rahisi kubeba vimelea vya magonjwa hivyo mzungu lazima azingatie while mm mmatumbi nabugia tu nnofu bila kuhoji chochote
Bado matangazo yako ya nguo hayavutii, picha zimepigwa hovyo na nguo zinatangazwa kwa kuvaliwa na mtu ambae pengine zinaweza zisimkae vizuri hivyo kupoteza ule uhalisia wa mvuto wa nguo kwa wengine. Tafuta midoli ya nguo, lipia matangazo yako Insta ili ksaidia kukuza account yako.Tafadhali naomba upite kwenye page yangu unisupport Allana's Closet (@allanah_closet) • Instagram photos and videos
Mkuu inawezacost kias gan kufanya tangazo fb?Usisuburi wateja wa kuja dukani anza kupost mitandaoni
Piga picha nguo vizuri iwekee details post
Sponser ads utauza tu