MSAADA: Biashara zinanivuruga naona nachanganyikiwa. Nifanyeje kujitoa katika hali hii?

MSAADA: Biashara zinanivuruga naona nachanganyikiwa. Nifanyeje kujitoa katika hali hii?

KING ASSENGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2016
Posts
928
Reaction score
1,478
Habari ndugu, naomba niwashirikishe kidogo yanayonisibu;

Nina biashara 5;
1. Magodoro
2. Electronics
3. Mchele
4. Duka la rejareja
5. Vinywaji vya jumla.

Kinacho niumiza wakuu chakwanza ni location mbovu haswa kwa biashara ya;
1. Mchele
2. Electronics
3. Magodoro

Jambo la pili ni mtaji hautoshelezi vizuri kutokana na kufeli kupata hela nilizotarajia kujazia zaidi mchele na vinywaji vya jumla na matibabu ya mdogo wangu yamenikwangua fedha.

Nashindwa kuamua niue biashara gani kuimarisha nyingine na zote nazipenda zaidi, nafeli location zaidi
kwani mitaji zimebeba sio mbaya mfano electronic imebeba about 8M, Magodoro about 7M, Mchele nina tani 4.

Naombeni msaada najitoa vipi kwenye hii hali. Sehemu inayohitaji mtaji zaidi ni vinywaji vya jumla haswa na kuna onesha mafanikio kukipewa mtaji.

Nifanyeje kujitoa kwenye hii hali. Siwezi kupata mkopo sijaajiriwa na sina nyumba.

ylzeul.jpg

Pia soma: Nina mtaji wa milioni 10 nifanye biashara gani
 
Habari ndugu, naomba niwashirikishe kidogo yanayonisibu;

Nina biashara 5;
1. Magodoro
2. Electronics
3. Mchele
4. Duka la rejareja
5. Vinywaji vya jumla.

Kinacho niumiza wakuu chakwanza ni location mbovu haswa kwa biashara ya;
1. Mchele
2. Electronics
3. Magodoro

Jambo la pili ni mtaji hautoshelezi vizuri kutokana na kufeli kupata hela nilizotarajia kujazia zaidi mchele na vinywaji vya jumla na matibabu ya mdogo wangu yamenikwangua fedha.

Nashindwa kuamua niue biashara gani kuimarisha nyingine na zote nazipenda zaidi, nafeli location zaidi
kwani mitaji zimebeba sio mbaya mfano electronic imebeba about 8M, Magodoro about 7M, Mchele nina tani 4.

Naombeni msaada najitoa vipi kwenye hii hali. Sehemu inayohitaji mtaji zaidi ni vinywaji vya jumla haswa na kuna onesha mafanikio kukipewa mtaji.

Nifanyeje kujitoa kwenye hii hali. Siwezi kupata mkopo sijaajiriwa na sina nyumba.

Pia soma: Nina mtaji wa milioni 10 nifanye biashara gani
Mbona unatuonea wewe ndo unajua biashara gani ino kupa faida zaidi na iko wapi sisi kweli tulioku huku Ikwiriri tukushauri uue biashara ipi kwa kutumia kigezo kipi?
 
Habari ndugu, naomba niwashirikishe kidogo yanayonisibu;

Nina biashara 5;
1. Magodoro
2. Electronics
3. Mchele
4. Duka la rejareja
5. Vinywaji vya jumla.

Kinacho niumiza wakuu chakwanza ni location mbovu haswa kwa biashara ya;
1. Mchele
2. Electronics
3. Magodoro

Jambo la pili ni mtaji hautoshelezi vizuri kutokana na kufeli kupata hela nilizotarajia kujazia zaidi mchele na vinywaji vya jumla na matibabu ya mdogo wangu yamenikwangua fedha.

Nashindwa kuamua niue biashara gani kuimarisha nyingine na zote nazipenda zaidi, nafeli location zaidi
kwani mitaji zimebeba sio mbaya mfano electronic imebeba about 8M, Magodoro about 7M, Mchele nina tani 4.

Naombeni msaada najitoa vipi kwenye hii hali. Sehemu inayohitaji mtaji zaidi ni vinywaji vya jumla haswa na kuna onesha mafanikio kukipewa mtaji.

Nifanyeje kujitoa kwenye hii hali. Siwezi kupata mkopo sijaajiriwa na sina nyumba.

Pia soma: Nina mtaji wa milioni 10 nifanye biashara gani
Ivyo vyote ungeweza kuviweka kwenye duka moja (duka la mangi) ukapunguza gharama za usimamizi na overhead cost na ukapata faida.
 
Mbona unatuonea wewe ndo unajua biashara gani ino kupa faida zaidi na iko wapi sisi kweli tulioku huku Ikwiriri tukushauri uue biashara ipi kwa kutumia kigezo

Ivyo vyote ungeweza kuviweka kwenye duka moja (duka la mangi) ukapunguza gharama za usimamizi na overhead cost na ukapata faida.
Location ya duka la Mangi sio location ya magodoro mkuu. Na hii electronics zinataka sana center . Ila duka la mangi linataka sana sehemu za makaźi
 
Ungesema hata mkoa ndugu kuna watakao shauri vizuri kutokana na kujua mazingira
 
Location ya duka la Mangi sio location ya magodoro mkuu. Na hii electronics zinataka sana center . Ila duka la mangi linataka sana sehemu za makaźi
Hapo ndo unapokosea.. watu hutoka huko kwenye makazi na kwenda kununua godoro kariakoo. Ukiwapelekea iyo huduma huko unakoita kwenye makazi huoni ni rahisi kuwapata? Hivyo hivyo kwa hizo electronics?
 
Kinacho niumiza wakuu chakwanza ni location mbovu haswa kwa biashara ya;
1. Mchele
2. Electronics
3. Magodoro

Nashindwa kuamua niue biashara gani kuimarisha nyingine na zote nazipenda zaidi, nafeli location zaidi
kwani mitaji zimebeba sio mbaya mfano electronic imebeba about 8M, Magodoro about 7M, Mchele nina tani 4.

Naombeni msaada najitoa vipi kwenye hii hali. Sehemu inayohitaji mtaji zaidi ni vinywaji vya jumla haswa na kuna onesha mafanikio kukipewa mtaji.


Pia soma: Nina mtaji wa milioni 10 nifanye biashara gani
Mbona Majibu unayo ?
 
Mchele upo location gani? Nikutajie sehem ambazonunaweza weka mchele ukatoboa kirahis maana ndo bizzness yang hiyo
 
Back
Top Bottom