KING ASSENGA
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 928
- 1,478
Habari ndugu, naomba niwashirikishe kidogo yanayonisibu;
Nina biashara 5;
1. Magodoro
2. Electronics
3. Mchele
4. Duka la rejareja
5. Vinywaji vya jumla.
Kinacho niumiza wakuu chakwanza ni location mbovu haswa kwa biashara ya;
1. Mchele
2. Electronics
3. Magodoro
Jambo la pili ni mtaji hautoshelezi vizuri kutokana na kufeli kupata hela nilizotarajia kujazia zaidi mchele na vinywaji vya jumla na matibabu ya mdogo wangu yamenikwangua fedha.
Nashindwa kuamua niue biashara gani kuimarisha nyingine na zote nazipenda zaidi, nafeli location zaidi
kwani mitaji zimebeba sio mbaya mfano electronic imebeba about 8M, Magodoro about 7M, Mchele nina tani 4.
Naombeni msaada najitoa vipi kwenye hii hali. Sehemu inayohitaji mtaji zaidi ni vinywaji vya jumla haswa na kuna onesha mafanikio kukipewa mtaji.
Nifanyeje kujitoa kwenye hii hali. Siwezi kupata mkopo sijaajiriwa na sina nyumba.
Pia soma: Nina mtaji wa milioni 10 nifanye biashara gani
Nina biashara 5;
1. Magodoro
2. Electronics
3. Mchele
4. Duka la rejareja
5. Vinywaji vya jumla.
Kinacho niumiza wakuu chakwanza ni location mbovu haswa kwa biashara ya;
1. Mchele
2. Electronics
3. Magodoro
Jambo la pili ni mtaji hautoshelezi vizuri kutokana na kufeli kupata hela nilizotarajia kujazia zaidi mchele na vinywaji vya jumla na matibabu ya mdogo wangu yamenikwangua fedha.
Nashindwa kuamua niue biashara gani kuimarisha nyingine na zote nazipenda zaidi, nafeli location zaidi
kwani mitaji zimebeba sio mbaya mfano electronic imebeba about 8M, Magodoro about 7M, Mchele nina tani 4.
Naombeni msaada najitoa vipi kwenye hii hali. Sehemu inayohitaji mtaji zaidi ni vinywaji vya jumla haswa na kuna onesha mafanikio kukipewa mtaji.
Nifanyeje kujitoa kwenye hii hali. Siwezi kupata mkopo sijaajiriwa na sina nyumba.