Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Kama ambavyo mgonjwa asipopima kwa kipimo sahihi, hatopata dozi sahihi na hatimaye hatopona.
Binafsi sijaelewa nini changamoto unayopambana kuitatua? Kama mitaji kibongo bongo uko mbali ,
1.Je ulipanga mauzo kwa mwaka kila biashara yafike kiasi gani na umefikia /feli kwa % ngapi?
2.Je una wateja wengi kuliko mtaji unataka mkopo au partner?
3.Location mbovu, je utamudu location unayoona nzuri na ikatokea mauzo yakabaki kama yalivyo sasa?
Weka wazi eneo lipi linalokunyima usingizi
Binafsi sijaelewa nini changamoto unayopambana kuitatua? Kama mitaji kibongo bongo uko mbali ,
1.Je ulipanga mauzo kwa mwaka kila biashara yafike kiasi gani na umefikia /feli kwa % ngapi?
2.Je una wateja wengi kuliko mtaji unataka mkopo au partner?
3.Location mbovu, je utamudu location unayoona nzuri na ikatokea mauzo yakabaki kama yalivyo sasa?
Weka wazi eneo lipi linalokunyima usingizi