Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyani unatuwekea vitu bongo havipatikani
Mkuu umelenga humo humo kali sana hyo naikubari...naipataga kwenye supermarket ya chang"ombe tuIko vizuri sana hiiView attachment 1914846View attachment 1914847
Inauzwaje hii???Kuna body spray moja kuna mtu alirecommend humu nimeinunua sio mbaya ni original from France [emoji632] ingawa siku ya kwanza kujipulizia nilipiga chafya kama 10 hivi.
Ila ipo vizuri sanqView attachment 1914865View attachment 1914868
Inauzwa pesa ngapi hyo perfume.Tomford Vanilla, bei mbaya... ukispray hii perfume pisi yeyote una itune, anakuomba namba mwenyewe... sio body spray.. hii ni perfume...
Bei gani? Pesa sio issue kwa wengineTomford Vanilla, bei mbaya... ukispray hii perfume pisi yeyote una itune, anakuomba namba mwenyewe... sio body spray.. hii ni perfume...
Nilinunua 20k KariakooInauzwaje hii???
$250k, amazon... ujazo tofauti...Bei gani? Pesa sio issue kwa wengine
Kuna duka Kariakoo uwa nanunua vitu kwa bei reasonable sana.mbon zinaaanzia el 40 mkuu funzadume
nakuja dm kiongozKuna duka Kariakoo uwa nanunua vitu kwa bei reasonable sana.
Bei inategemea na chimbo. Kuna sehemu wanauza bei nzuri sema unapaswa kuzijua.mbon zinaaanzia el 40 mkuu funzadume
oga mara mbili kwa siku huna haja ya body spray ma-kansa tu kujitafutia.Wakuu habari zenu
Naomba ushauri ni body spray gani nzuri kwa mwanaume.
Ahsanteni.