Haha hat usijali kupika kwanza kabla hujaandaa vitu weka moyo hapo Yani feel ni kitu unataka kupika kiwe kizuri na kivutieAsantee
Nilidhani nimebakiza kupika chapati kumbe safari bado
Ndio unatakiwa kujua mapungufu yako unatafuta wakuendana nayoAisee kumbe kutafuta Mwenza kuna Mambo/vigezo vingi namna hii....
Nimelia sana! Hivi Joanah una nini?Leo nimeweka mafuta kidogo lakini ajabu wali unawaka waka loh!
Kabisa sis ni ukweli aiseeNimelia sana! Hivi Joanah una nini?
๐๐๐๐
Kujua kupika kuna mawili, kupenda na kupata right motivation. Mfano mi sipendi at all lakini akiwepo shemeji yako nakuwa motivated kupika, So natoa kitu hatari.
Lakini amini nakwambia mapishi sio universal language, kama si chef by profession then unatakiwa kujua kupika kwa ajili ya your people if they like it then you are good. Itโs okay watu ambao sio wako kusema chakula chako kibaya.
Wakulaumiwa ni mama yako mzazi.Wakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu ๐
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Nenda YouTube ukajifunzeWakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu ๐
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Kama unaishi kwenye, kaa na mdada wa kazi akuelekeze kupika.Yutyubu ukiangalia rahisi lakini ukiingia mzigoni mara chumvi izidi,maji,mafuta
shemela binti kiziwi wamcheka mwenzio, ila wasahau nawe hujui kupika vizuri๐๐Nimelia sana! Hivi Joanah una nini?
๐๐๐๐
Kujua kupika kuna mawili, kupenda na kupata right motivation. Mfano mi sipendi at all lakini akiwepo shemeji yako nakuwa motivated kupika, So natoa kitu hatari.
Lakini amini nakwambia mapishi sio universal language, kama si chef by profession then unatakiwa kujua kupika kwa ajili ya your people if they like it then you are good. Itโs okay watu ambao sio wako kusema chakula chako kibaya.
Usi mjaze upepo aka lipua jikokubali kufeli, feli haraka na mara nyingi, ndo kujifunza.
Habari ya wapi rafiki?? Kitambo sanaHakuna kitu kinakela Kama umetoka umechoka mizunguko unanjaa hafu unakuta home chakula hakieleweki