Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Yaani stay tune madikodiko yanaanza soon hapa nishashop Nazi zangu za buku buku🤣🤣🤣
Ebo! Kumbe Evelyn Salt ni ana makende 😲😲😲Wakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Usi jali shemela, uta osha hata vyombo😂Shemela kikubwa najua kula kama Atoto 😀
sweets,Hizo unajua nilishanyoosha mikono
Ngoja nikuambie namna nilijifunza kupika wali,Mbona mie wali naupika kwa mfumo huo uliowashangaza wa maji ya baridi 😀
Nitajitahidi kupika mara nyingi nikiweza, asante sis 🙏
Yes, cooking is art.Itabidi utafute mwanamume anaejua kupika kama Mwachiluwi ili mgawane majukumu mkuu 😅😅😅... Jokes.
All in all kupika ni sanaa so sio kila mtu anaweza kuimudu hiyo sanaa, kuchanganya changanya mavitu vitu hadi itokee kitu yenye ladha moja sio mchezo😅😅
kama hujui kupika jitahidi uwe na kitu kitandaniWakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Umenena vyema mkuu.Yes, cooking is art.
Some times you need to practice alot in order to achieve perfection.
Like every other arts, some people need one time and others need few more times to succeed.
Joanah aendelee hivyo hivyo kujaribu atafanikiwa au hatafikia kiwango cha wengine na siyo lazima afikie hakuna kujisikia vibaya. Yeye lazima atakuwa bora kwenye sanaa zingine.
njoo geto nikufundisheLeo nimeweka mafuta kidogo lakini ajabu wali unawaka waka loh!
Anitafute nimpe tips....kupika sio shida zangu...kazi nisiyoiweza ni kubeba maji kwenye ndoo kichwani huwa nahisi kuchanganyikiwa
Joanah mbona kupika sio kitu chenye ugumu hivyo!
Labda mtindo wa makuzi yako ulikuweka mbali na mapishi lakini ni kitu rahisi sana .
Kama umepika wali umeona kuna makosa fulani kesho pika tena ukirekebisha pale ulipo kosea leo na kurudia hivyo hivyo jadi ujenge mazoea.
Hamia chakula kingine , mwisho wa siku utajikuta mpishi mzuri kuliko wengi walio na taaluma hio.
Nimelia sana! Hivi Joanah una nini?
😂😂😂😂
Kujua kupika kuna mawili, kupenda na kupata right motivation. Mfano mi sipendi at all lakini akiwepo shemeji yako nakuwa motivated kupika, So natoa kitu hatari.
Lakini amini nakwambia mapishi sio universal language, kama si chef by profession then unatakiwa kujua kupika kwa ajili ya your people if they like it then you are good. It’s okay watu ambao sio wako kusema chakula chako kibaya.