Atalanta
Member
- May 25, 2022
- 72
- 251
Habari zenu wakuu natumaini mu wazima. Moja kwamoja kwenye mada...
Wakuu mimi ni kijana jinsia "me" nasumbuliwa na tatizo la FANGUS kwa muda mrefu. Nimetumia dawa mbalimbali za kunywa "fluconazol" yawezekana nimekosea kuandika Ila jina lake linaendana na hilo, pia nimetumia dawa za kupaka lakini tatizo bado halijaisha. kwa wale waliokaa hosteli wanaita "pumbu jero" Yaani fangusi wapo kwenye mapumb. Mwanzoni walikuwa wanawasha Sasa nnavojikuna ngozi inakwanguka lakini saizi hawawashi Sana Kama mwanzo Ila ngozi ya kwenye korodani inabanduka Yaani inaonekana kabisa hii ni fangus. Hospitalini nimeenda kila Mara lakini tatizo naona bado haliishi.
Kama na wewe ulishawahi pata huu ungonjwa na ukapona Basi ulitumia dawa gani..??, au Kama unaifahamu dawa yake naomba share mahali hapa kwani naamini itawasaidia na wengine wengi.
Ahsanteni
Wakuu mimi ni kijana jinsia "me" nasumbuliwa na tatizo la FANGUS kwa muda mrefu. Nimetumia dawa mbalimbali za kunywa "fluconazol" yawezekana nimekosea kuandika Ila jina lake linaendana na hilo, pia nimetumia dawa za kupaka lakini tatizo bado halijaisha. kwa wale waliokaa hosteli wanaita "pumbu jero" Yaani fangusi wapo kwenye mapumb. Mwanzoni walikuwa wanawasha Sasa nnavojikuna ngozi inakwanguka lakini saizi hawawashi Sana Kama mwanzo Ila ngozi ya kwenye korodani inabanduka Yaani inaonekana kabisa hii ni fangus. Hospitalini nimeenda kila Mara lakini tatizo naona bado haliishi.
Kama na wewe ulishawahi pata huu ungonjwa na ukapona Basi ulitumia dawa gani..??, au Kama unaifahamu dawa yake naomba share mahali hapa kwani naamini itawasaidia na wengine wengi.
Ahsanteni