MSAADA: Dawa ya kuondoa paka wanaolia usiku wa manane

MSAADA: Dawa ya kuondoa paka wanaolia usiku wa manane

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nawaza hata niliyemkosea nakosaaa,

Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima. Niliweka sumu wakafa wawili yaan kama nimefungua vita wakija kama wanaita wenzaao hatulali wakuu.

Kibaya wapangaji wangu wameanza kuhama mmoja mwanae amelala nae kitandan kamkuta sebulen nashukuru hawakuwa makatili kumtoa nje.

Mwingine ana wiki anaalalama anapigana na mwanamke mnene usiku mpaka saa 11 asbh anamwachia. Kama ujuavyo imani haituruhusu mngineyo ukikaa vijiweni unaambiwa mwagia mkojo na chumvi vyumban shida wa nani awasemi?

Mwingine kachukue maji ya baharini changanya na maziwa na chumvi na mavi ya tembo(kipengelee tembo achatu/mwagia vyumbani, mmhhh nk.

Tunapiga sala bado tukimwa mini Mungu ila tunapitia kwenye vita vikuu yaan hata kukaa na majirani nimeogopa. Sasa, nawaza kupeleka watotoo bdn; kama kupambana tumalizane nao wakubwa.

Hivi naandika wamekuja tena, aiseeeeeeee!

Yaan siku ya 5 sasa haya yanapiga makelele hayali sumu matokeo yanakuja dirishan moja likilis lingine linaitaa nyaauuuu nyaaaaaaaaaaaau kamawanafanya tendo la ndoa kinguvu kazi trutrue.

Mjini kuzuri lakn, mmh!
 
Paka huwa kipindi jike akiwa kwenye joto huwa anavutia madume kutoka sehemu za mbali, nà wanalia hivyo wala haihusiani na ushirikina kama wengi wanavyodhani.

Paka ni viumbe innocent hawana neno na binadamu na ni ukatili kuwaua viumbe ambao hawana baya na wewe.

Tunaua tembo, tunaua simba, vifaru, chui, Twiga, paka, tunafyeka misitu, n.k Hivi tunataka hii dunia tubaki peke yetu?
 
Picture tafadhali
Kaaka niombe radhi hao wawili wameenda atulali mke analiamgongoo wikisasa achatu mpwa ..yaan masamaki nkiweka nakuta yalivyo asbh natoa nahisi hat sumu ishkta tamaa kwenye samaki...
 
Dawa fungulia subwoofer maximum,, watachoka wenyewe
Mkuu nallala namkesha wa kuhani musa kila siku wakirusha.moto atlist yamenisaidia kiasi..ila yanakuja na kugo..
 
Paka huwa kipindi jike akiwa kwenye joto huwa anavutia madume kutoka sehemu za mbali, nà wanalia hivyo wala haihusiani na ushirikina

Paka ni viumbe innocent hawana neno na binadamu na ni ukatili kuwaua viumbe ambao hawana baya na wewe
Mkuu mwezi mzima wanavutia wanaumennnwhym?? Wasiende kulia kwa jirani??
 
Mkuu nallala namkesha wa kuhani musa kila siku wakirusha.moto atlist yamenisaidia kiasi..ila yanakuja na kugo..
Kuna app moja hutoa milio sio rafiki kwa wanyama, itest
 
Paka huwa kipindi jike akiwa kwenye joto huwa anavutia madume kutoka sehemu za mbali, nà wanalia hivyo wala haihusiani na ushirikina kama wengi wanavyodhani

Paka ni viumbe innocent hawana neno na binadamu na ni ukatili kuwaua viumbe ambao hawana baya na wewe

Tunaua tembo, tunaua simba, vifaru, chui, Twiga, paka, tunafyeka misitu, n.k Hivi tunataka hii dunia tubaki peke yetu?
Uko sahihi 100%
 
Back
Top Bottom