Fanyeni Kazi mpate pesa halali na kuibia vijanaWakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana. Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.
Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.
Help me please!
Hawajui kusoma alama za nyakati.Wakaka wa jf wanazubaa sanaa.
Jua lote hili ukumbatiane na tandam?Wakaka wa jf wanazubaa sanaa.
Mtu yupo tokea december nyie hamzingatii.Jua lote hili ukumbatiane na tandam?
Ndio kwanza mwanzo wa mwezi unataka tupigwe mwanzoni Kabisa πππWakaka wa jf wanazubaa sanaa.
Naunga mkono hoja na joto hili la dar es salaam sio powaJua lote hili ukumbatiane na tandam?