MSAADA; Dawa ya Kupunguza Makalio

MSAADA; Dawa ya Kupunguza Makalio

Wakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana.

Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.

Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.

Help me please!

nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika
Mkuu njia rahisi ya kupunguza makalio ni kuongeza kiwango cha kugegedwa na kama ikishindikana basi go for surgical operation.
 
Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana.

Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.
Spot reduction(kupunguza mafuta sehemu moja tu ya mwili) hakuwezekani.

Ukiwa unakonda unapoteza mafuta mwili mzima.

Wewe utakuwa na vinasaba vyako vya tofauti tu, jikubali.
 
Wakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana.

Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.

Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.

Help me please!

nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika
Wee unauza matako sio bure, nenda tuu kapange foleni na malaya wenzako umsubiri wa kukununua
 
Wakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana.

Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.

Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.

Help me please!

nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika
Dah pole sana what if ukamwona daktari?
 
Back
Top Bottom