Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mambo 😎😎Tajiri Vincenzo Jr shikamoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo 😎😎Tajiri Vincenzo Jr shikamoo
Poa! Naona umeenza kulipia kiingilio cha jf😎Mambo 😎😎
Mkuu njia rahisi ya kupunguza makalio ni kuongeza kiwango cha kugegedwa na kama ikishindikana basi go for surgical operation.Wakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana.
Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.
Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.
Help me please!
nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika
😃😀😉😉😉 😎Poa! Naona umeenza kulipia kiingilio cha jf😎
Spot reduction(kupunguza mafuta sehemu moja tu ya mwili) hakuwezekani.Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana.
Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.
Wee unauza matako sio bure, nenda tuu kapange foleni na malaya wenzako umsubiri wa kukununuaWakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana.
Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.
Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.
Help me please!
nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika
Dah pole sana what if ukamwona daktari?Wakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana.
Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.
Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.
Help me please!
nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika
jf ipi hii ambayo kila uchwao unasikia watu mara wamepigwa na fic mara lbl mara kalyinda na nyinginezo nyingi mara ONTARIOO !!??Uzuri jf apigiki mtu kizembe😂😂
Mkuu vip? Nani alikupiga mbna unachafua majina ya watujf ipi hii ambayo kila uchwao unasikia watu mara wamepigwa na fic mara lbl mara kalyinda na nyinginezo nyingi mara ONTARIOO !!??