Ilinipitaje hii? ๐ฅบ๐ฅบScam, hii ni kama ya gilesi, alisema ana makalio laini Afrika mashariki na kati kumbe ni mshikaji maarufu tu humu.
Wakuu mkipigwa msije kusema hatukuwastua.
Uzuri jf apigiki mtu kizembe๐๐Scam, hii ni kama ya gilesi, alisema ana makalio laini Afrika mashariki na kati kumbe ni mshikaji maarufu tu humu.
Wakuu mkipigwa msije kusema hatukuwastua.
Wenzako wanakesha kutafuta nauli na passport za kwenda Uturuki kuboost halafu wewe unatafuta dawa yasinyae!Wakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana. Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.
Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.
Help me please!
nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika
Picha ni za muhimu sana Rachel PWakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana. Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.
Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.
Help me please!
nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika
Achana na hizo kwanza naona mumeo kapanda rank .๐ซฃ๐๐Wakaka wa jf wanazubaa sanaa.
Hivi vitu vya ebay sio mchongo sanaMtu yupo tokea december nyie hamzingatii.
Wajomba walimkaaanga GilesiStory yako haitofautiani sana na gilesi mitikisiko ila yako Ina Uboreshaji kidogo mtafute gilesi alipata Dawa mwenzako.
Nb Hatukuamini tulivyo mkuta gilesi kama ni yule mzee๐๐๐
Hili ndiyo Tangazo la kwanza kulisikia la namna hiiWakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana. Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa. Nimefanya mazoezi tangu mwaka jana mwezi august lakini mpaka leo nayaona kama yanaongezeka tu.
Natamani kupata dawa ambayo iwe ya asili isiyo na madhara ili nikijumlisha na haya mazoezi basi nipate matokeo.
Help me please!
nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika
nb: Naweza kuambatanisha na picha kama zitahitajika