SITABIRIKI
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 364
- 105
kama.mzinzi ni mwanaume je asome niniBismilah laydhuru ma Zawjati fishey fil ardhi wala fil samaa wa huwa samii al aleem.
Kama we muislam some hilo dua hakuna atakaye msogelea mke wako kwa mabaya, haina haja ya kutafuta dawa wala nini.
Kila kitu unakipata kwenye Qur'an na sunna ni wewe tu kusoma na kufahamu.
Siku njema.