Msaada dawa ya visunzua usoni

Wataalam wa ngozi wanasemaje kuhusu Sunzua?
Tatizo hili ninakuwa kubwa,watu wengi wanasumbuka nayo.
 
Habari wapendwa, tafadhari anayejua namna ya kuondoa visunzua usoni vile vinyama vinavyoota usoni vyeusi real vinakela Sana.

Pia ningefurahi endapo ningepata chanzo chake. Shukrani kwenu
Ukipata jibu naomba nistue kwangu imekuwa shida sana
Tupeni mrejesho,mmetatua namna gani tatizo hilo?
 
Habari wapendwa, tafadhari anayejua namna ya kuondoa visunzua usoni vile vinyama vinavyoota usoni vyeusi real vinakela Sana.

Pia ningefurahi endapo ningepata chanzo chake. Shukrani kwenu.
Sivijui hivo vitu unavyovisema ila nimehisi tu vitu flani hivi. Nina dawa 2 nakupa itakayokufaa urudishe mrejesho
1. Ukipikia kuni hazijakauka vizuri huwa zinatoa majimaji yana vimapovu, basi xhukua na kidole uchue sehem vilipo
2. Pakaa colgate narudia tena colgete ile nyeupe plain sio hizi zingine kila usiku unapolala
 
Habari wapendwa, tafadhari anayejua namna ya kuondoa visunzua usoni vile vinyama vinavyoota usoni vyeusi real vinakela Sana.

Pia ningefurahi endapo ningepata chanzo chake. Shukrani kwenu.
Kwa soma soma yangu ya hapa na pale
Kuna zile sunzua moja moja tu km usoni moja au mkononi moja ambayo hizo husababishwa na aina fulani za virus ambazo tiba zake ni kuchomwa kwa penseli maalum za chemikali.

Ila kama una vinyama vidg sana halafu vingi vyenye kutapakaa mashavuni shingoni... na hasa ukiwa na uzito wa ziada... huenda ikawa ni dalili ya insulin resistance... ulaji mbaya wa vyakula vya uwanga na sukari na mafuta mabaya

Tiba yake ni kubadilisha mfumo wa maisha wa kula kwa ujumla
 
Asee
 
Habari wapendwa, tafadhari anayejua namna ya kuondoa visunzua usoni vile vinyama vinavyoota usoni vyeusi real vinakela Sana.

Pia ningefurahi endapo ningepata chanzo chake. Shukrani kwenu.
nimefanikiwa kuviondoa ila kwa kuvichoma japo bei yake mkasi kidogo
 
Tumia pia na hii
 

Attachments

  • IMG_20241106_163041_683.jpg
    247.2 KB · Views: 15
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…