Msaada: Dojo kwa hapa Dar es Salaam

Msaada: Dojo kwa hapa Dar es Salaam

sensei Ringo kweli karate yake ni ya demo tu. Wanafunzi wa chikoko sijawah waona wanachofanya ila Jango kama BRN alivyokushauri wako safi kwa kiwango chao
Chikoko mtafute mtandaoni utamuona kama ni mbabaishaji au ni mkweli, utajua kuhusu yeye halafu hao jango na ringo ualimu wa karate wameupatia wapi? hivi walishawahi kufika hata mkanda mweusi?
 
Mi namkubali zaidi Ringo coz yupo kiprofeshno zaidi. sijui siku hizi kama mambo yamebadilika maana mdau amesema mikanda inatolewa kimagumashi hiyo ni sifa mbaya kama ni kweli inabidi ajiangalie.
Nakumbuka alikuwa na kijana wake(mtoto wake) alianza kumfua tangia akiwa mdogo sana na sasa he is around 26 to 30yrs, yule dogo yupo fit balaa. alikuwa na black belt dani 2 kama sikosei.

So to me, Ringo is the best.

to me kwa msisitizo ringo hawezi hata kufundisha white belt
 
to me kwa msisitizo ringo hawezi hata kufundisha white belt
mkuu.naungana na ww asilimia.100 chikoko namkubali na ninamfaham kiwango cha chikoko anakwenda fanya shotokan popote duniani coz anaviwango vinavyotambulika.kidunia kwenye shotokani.

ndio maana mm nilimtajia.tanganyika pekas kwa chikoko ingawa now wamehamia kwenye ukumbi wa ccm.

kwa tanzania hii chikoko anaongoza jamaa yupo vizuri sana.ndio huwa anawafundisha wanajeshi.husafiri nje mara nyingi sana kwaajili ya kuongeza ujuzi au kwenda kuchukua daraja jingine kwenye fan
 
mkuu.naungana na ww asilimia.100 chikoko namkubali na ninamfaham kiwango cha chikoko anakwenda fanya shotokan popote duniani coz anaviwango vinavyotambulika.kidunia kwenye shotokani.

ndio maana mm nilimtajia.tanganyika pekas kwa chikoko ingawa now wamehamia kwenye ukumbi wa ccm.

kwa tanzania hii chikoko anaongoza jamaa yupo vizuri sana.ndio huwa anawafundisha wanajeshi.husafiri nje mara nyingi sana kwaajili ya kuongeza ujuzi au kwenda kuchukua daraja jingine kwenye fan

kweli kabisa kaka, haya mambo ya kuwa danganya danganya watu sasa yaanze kuisha hawa wanaojiita waalimu ukiwaambia hata oi tsuki peke yakewaichambue kamwe hawatoweza, wala hawajui hata mfumo wanaoufwata, halafu watu wasivyojielewa kwa ujinga walio nao kuhusu hii sanaa wanasifia tu na wanakubali kudanganyika bila hata kutafiti kwa umakini. kwa tanzania chikoko hana mpinzani wala wa kufananishwa nae katika sanaa ya karate
 
mkuu.naungana na ww asilimia.100 chikoko namkubali na ninamfaham kiwango cha chikoko anakwenda fanya shotokan popote duniani coz anaviwango vinavyotambulika.kidunia kwenye shotokani.

ndio maana mm nilimtajia.tanganyika pekas kwa chikoko ingawa now wamehamia kwenye ukumbi wa ccm.

kwa tanzania hii chikoko anaongoza jamaa yupo vizuri sana.ndio huwa anawafundisha wanajeshi.husafiri nje mara nyingi sana kwaajili ya kuongeza ujuzi au kwenda kuchukua daraja jingine kwenye fan

inaelekea unafwatilia vizuri anachofanya, hana ubabaishaji wala mambo ya kupeana hela ili kudanganyana. ukiwauliza hawa waalimu sijui ringo, sijui jango wafwata shule gani ya shotokan karate hawawezi kukujibu, ukiwauliza madaraja yao wamepata wapi na uthibitisho wanakukimbia kabisaaaaaa. sasa wanafundisha nini kama sio uhuni tu wanao uita karate
 
Toa sababu na vigezo.

sababu ya kwanza sio mwalimu aliefuzu kufundisa karate hata kwa mkanda mweupe
pili hana shule (style) ya karate anayoifwata, kwa hiyo hawezi kufundisha chochote au kuelekeza kwa ufundi
tatu ni wapi alipo soma yeye alikfuzu kuwa mwalimu, shirikisho gani? akikupa jibu au ukiwa na jibu lenye udhibitisho nakupa laki 5
 
kweli kabisa kaka, haya mambo ya kuwa danganya danganya watu sasa yaanze kuisha hawa wanaojiita waalimu ukiwaambia hata oi tsuki peke yakewaichambue kamwe hawatoweza, wala hawajui hata mfumo wanaoufwata, halafu watu wasivyojielewa kwa ujinga walio nao kuhusu hii sanaa wanasifia tu na wanakubali kudanganyika bila hata kutafiti kwa umakini. kwa tanzania chikoko hana mpinzani wala wa kufananishwa nae katika sanaa ya karate
Mkuu Tanzania nzima Chikoko hana mpinzani kwenye Karate ??? Hiyo platform uliyoitumia ni general sana ,au ulimaanisha kwa ma sensei ??? Maana sidhani kama unajua Makomando wa JWTZ wako vipi ,unless wewe ndio una wa train ,
 
Mkuu Tanzania nzima Chikoko hana mpinzani kwenye Karate ??? Hiyo platform uliyoitumia ni general sana ,au ulimaanisha kwa ma sensei ??? Maana sidhani kama unajua Makomando wa JWTZ wako vipi ,unless wewe ndio una wa train ,

sijui kama unaelewa ninachoongea naongelea sanaa ya karate sio kukunja ngumi na kupiga mtu, hilo kila mtu analiweza. ninachoongea mimi katika sanaa ya karate tanzania chikoko hana mpinzania, anaeweza kufikia taaluma yake na uwezo wa kiufundi
 
sijui kama unaelewa ninachoongea naongelea sanaa ya karate sio kukunja ngumi na kupiga mtu, hilo kila mtu analiweza. ninachoongea mimi katika sanaa ya karate tanzania chikoko hana mpinzania, anaeweza kufikia taaluma yake na uwezo wa kiufundi
Acha jazba soma unielewe kwani sanaa ya karate haifundishwi jeshini ?? Aliyesema kazi ya makomando ni kukunja ngumi ni nani ??
Chikoko hana mpinzani ukimlinganisha na nani ??? Hao ma sensei wa Dar au ni kina nani hasa ??
 
Acha jazba soma unielewe kwani sanaa ya karate haifundishwi jeshini ?? Aliyesema kazi ya makomando ni kukunja ngumi ni nani ??
Chikoko hana mpinzani ukimlinganisha na nani ??? Hao ma sensei wa Dar au ni kina nani hasa ??

sio jazba wala usielewe vibaya, nenda jeshini kaangalie utanipa jibu sio makomando wala wanajeshi wa kawaida "karate" haifundishwi jeshini, jeshini wanafundishwa kupigana kuvunja vitu kuwa sugu na kadhalika sio karate/karatedo yeye ni mwalimu ambae ameshawahi na bado anafundisha wanajeshi. kwa hiyo ninachokuambia sio mbwembwe. kujua kupiga na kujua ufanyaji wa karate ni vitu viwili tofauti na havina uhusiano
 
sio jazba wala usielewe vibaya, nenda jeshini kaangalie utanipa jibu sio makomando wala wanajeshi wa kawaida "karate" haifundishwi jeshini, jeshini wanafundishwa kupigana kuvunja vitu kuwa sugu na kadhalika sio karate/karatedo yeye ni mwalimu ambae ameshawahi na bado anafundisha wanajeshi. kwa hiyo ninachokuambia sio mbwembwe. kujua kupiga na kujua ufanyaji wa karate ni vitu viwili tofauti na havina uhusiano
Mkuu karate haifundishwi Jeshini ??
Anyway ngoja tu nikubaliane kutokukubaliana ,sawa uwe na jioni njema
Wala sijasema kujua kupiga na ufanyaji wa karate ni kitu kimoja ,ndio maana tuna Kung fu ,Karate,Kick box,gujuru nk ,zote ni mapigo ila kila moja ina sanaa zake
 
Acha jazba soma unielewe kwani sanaa ya karate haifundishwi jeshini ?? Aliyesema kazi ya makomando ni kukunja ngumi ni nani ??
Chikoko hana mpinzani ukimlinganisha na nani ??? Hao ma sensei wa Dar au ni kina nani hasa ??

hana mpinzani tanzania nikimaanisha hana mpinzania tanzania sio dar wala kokote tanzania, amefanya semina za TKF kuzunguka tanzania kwa kugawa kikanda ni kigoma tu ndo ilikuwa kidogo afadhali lakini bado wapo chiini
 
Mkuu karate haifundishwi Jeshini ??
Anyway ngoja tu nikubaliane kutokukubaliana ,sawa uwe na jioni njema

kama inafundishwa jeshini niambie ni kikosi gani kinafundishwa au vikosi gani kwa sanaa gani ya karate toa chuo cha polisi moshi (Gojukai) toa usalama magomeni (Gojuryu), niambie vingine
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Donlucchese

Sijui una umri gani. Ila naona kwa sasa maisha yamebadilika sana. Miaka ya nyuma nikiwa kijana kijana nilianza kujifunza AEKIDO. Alikuwa anafundisha mke wake mcheza sinema maarufu marekani Steven Seagal. Steven Seagal mwenyewe kabla ya kuachana na mke wake hilo ndo lilikuwa chimbo lake.

Baada ya kuanza mafunzo nilipata shida sana. Japo kijana lakini umri ulikuwa sio flexible kuendana na vijana wengine. Nilipata shida sana. Wakati mi ndo najifunza madogo wengine walikuwa kwenye mazoezi ya majambia yaani swords. Wenzetu mazoezi wanaanza tangu miaka mitatu.

Nataka kusema nini.

Kama wewe bado umri haujaenda ni vizuri ukaanza. Ila kama umri umeenda kama Mimi kikubwa ni kujiweka fit na hasa kuwa na pumzi. Hata kama unakimbizwa unawanyanyasa tu.

Lakini pia kama unataka kujifunza karate basi jifunze weak points kwenye mwili. Kuna maeneno matano au sita kwenye mwili ambayo kama huna jinsi unaweza kupiga na ukamwondoa mtu. Lakini hii ni kama huna jinsi nyingine. Kwa sababu unaweza ukapiga mtu akadondoka kesi ikarudi kwako.

Kingine siku hizi watu wengi wanataka kuwa fit kimazoezi na kuzuia magonjwa. Bastola zimefanya watu wawe wazembe sana. Na mwenzio akiwa nayo hata kama hajawahi kwenda gym akikuwahi tu dojo yako inaishia hapo.

Sikukatishi tamaa ila wewe ndo mwamuzi.
 
Mkuu karate haifundishwi Jeshini ??
Anyway ngoja tu nikubaliane kutokukubaliana ,sawa uwe na jioni njema
Wala sijasema kujua kupiga na ufanyaji wa karate ni kitu kimoja ,ndio maana tuna Kung fu ,Karate,Kick box,gujuru nk ,zote ni mapigo ila kila moja ina sanaa zake

na kama tungeweza kurudi nyuma kidogo ningeweza kukuambia toa na JKT makao makuu (Shotoka). kama unaweza kuwapata wanafunzi advance wa DR. Chikoko Sensei ambao ni wanajeshi, na kama utapata fursa ya kuweza kuwauliza waulize jeshini wanajifunza sanaa gan? utapata jibu na utaelewa ninachokuambia
 
na kama tungeweza kurudi nyuma kidogo ningeweza kukuambia toa na JKT makao makuu (Shotoka). kama unaweza kuwapata wanafunzi advance wa DR. Chikoko Sensei ambao ni wanajeshi, na kama utapata fursa ya kuweza kuwauliza waulize jeshini wanajifunza sanaa gan? utapata jibu na utaelewa ninachokuambia
Hai
 
Back
Top Bottom