Gari zinatofautiana na mafundi makini wame-specialize kwenye gari fulani. Gari yako aina gani?Wadau naomba msaada kuna kigari changu kinanisumbua sana nshabadili sensor kadha lakini bado kinazima mara nyingi na kuwasha check engine...pia kina vibrate sana na mlio wake kwenye bomba ya kutoa moshi umebadilika...
Mwenye namba tafadhali anisaidie hapa ya fundi mzuri na mwaminifu
Passo boss
Shukrani mkuu nimepitia pia mtandaoni nikasoma habari zao na wewe pia umechagiza nauchukua ushauri wako na kuufanyia utafiti wa kujiridisha...blessKuna garage ipo Ubungo Darajani karibu na Land Mark sijui jina lake ila wapo vizuri mafundi wao wamespecialize kwa aina za magari, wasichokijua wanakwambia na wanakushauri kwa kuipeleka gari
Hiyo passo yako ina piston ngapiPasso boss
Umejuaje yuko Dar?Kuna mtaalamu mmoja huku Keko Mwanga karibu na jengo la Maliasili. Huyo namkubali sana. Nitakupa namba yake mida sasa hivi sinayo iko kwenye simu B.
Umeshakipima kwa 'Diagnosis machine' kujua tatizo? Au unabadili sensor blindly?Wadau naomba msaada kuna kigari changu kinanisumbua sana nshabadili sensor kadha lakini bado kinazima mara nyingi na kuwasha check engine...pia kina vibrate sana na mlio wake kwenye bomba ya kutoa moshi umebadilika...
Mwenye namba tafadhali anisaidie hapa ya fundi mzuri na mwaminifu
Aisee.., piston 3 na gari inatembea?!3 Piston
Ukiweza pia karibu chuo cha taifa cha usafirishaji nitakufanyia kazi yako bila tatizo, mimi ni mhadhiri ktk chuo hicho tunavyovifaa vya kufanyia kazi ya magari katika ubora unaokubalika kwa mjibu wa wawatengenezaji.Wadau naomba msaada kuna kigari changu kinanisumbua sana nshabadili sensor kadha lakini bado kinazima mara nyingi na kuwasha check engine...pia kina vibrate sana na mlio wake kwenye bomba ya kutoa moshi umebadilika...
Mwenye namba tafadhali anisaidie hapa ya fundi mzuri na mwaminifu
Ukiweza pia karibu chuo cha taifa cha usafirishaji nitakufanyia kazi yako bila tatizo, mimi ni mhadhiri ktk chuo hicho tunavyovifaa vya kufanyia kazi ya magari katika ubora unaokubalika kwa mjibu wa wawatengenezaji.
unaweza nitafufa kwa 0757930779 whatsap au kawaida. Pia kwa yeyote mwenye tatizo na gari lake au anayehitaji msaada wa aina yoyote kuhusu gari usisite kunitafuta utapata ushauri na tiba ya kitaalamu.