Anakuja AnamAlizia Pilau Ya Pasaka
Nimeshashushia Pepsi mkubwa wao😂Anakuja AnamAlizia Pilau Ya Pasaka
Hahahah mkuu fundi wako miyeyusho atakupiga hela mda si mrefu[emoji23]!
“Eco” ni kifupi cha neno Economy ama uchumi kwa maana ufanisi wa hali ya juu katika matumizi ya nishati ya mafuta katika gari yako.
Endapo hio taa itawaka basi tambua kuwa uendeshaji wako ni sahihi na unapelekea ulaji mzuri wa mafuta. Endapo utaanza kukanyaga race za ajabu ajabu zaidi ya 2.5RPM utaona hio taa inazima kuashiria uendeshaji wako ni mbovu na utachangia ulaji mbaya wa mafuta ya chombo chako.
So furahia hio alama zaidi kuliko kuwa na wasiwasi haina shida iko hapo kukupa marks za uendeshaji wako. Ikiwaka “Eco” maana yake upo on the right track ila ikizima kama ni ruti za mjini pekee jua tu utaenda sana sheli.
Kuhusu herufi “B” hio ni mahususi kwa engine braking. Unasukumia speed icontroliwe na engine kwenye miteremko
Sema viva JF, imekuokoa usipigwe hii fedhaakanambia kutengenezeka itahitajika laki moja na nusu,
Afadhali Kuna wahuni wako pm Kwa jamaa wampige changa la macho vijana kwa fursa 🤣🤣Hahahah mkuu fundi wako miyeyusho atakupiga hela mda si mrefu😂!
“Eco” ni kifupi cha neno Economy ama uchumi kwa maana ufanisi wa hali ya juu katika matumizi ya nishati ya mafuta katika gari yako...
Wadau naamini JF naweza pata msaada juu ya hili suala, iko hivi kuna mkebe nmenunua hivi karibuni ila kuna kitu huwa nakiona kwenye dashboard huwa sikielewi, kitu chenyewe kinawaka...
Nimeshajaaa Piemu kwake nikamfanyie diagnosis.Hahahah mkuu fundi wako miyeyusho atakupiga hela mda si mrefu😂!
“Eco” ni kifupi cha neno Economy ama uchumi kwa maana ufanisi wa hali ya juu katika matumizi ya nishati ya mafuta katika gari yako...
Sasa huyu fundi wake angeizimaje iyo taa Kama angepewa hiyo tenda? au angekata waya 😂😂😂Hahahah mkuu fundi wako miyeyusho atakupiga hela mda si mrefu😂!
“Eco” ni kifupi cha neno Economy ama uchumi kwa maana ufanisi wa hali ya juu katika matumizi ya nishati ya mafuta katika gari yako...
"S" ina maana gani pale?Hahahah mkuu fundi wako miyeyusho atakupiga hela mda si mrefu😂!
“Eco” ni kifupi cha neno Economy ama uchumi kwa maana ufanisi wa hali ya juu katika matumizi ya nishati ya mafuta katika gari yako...
S-Sharp inahold gear kwa muda mrefu (gari inachange gear kwenye higher RPM) inafaa kutumika kwenye overtaking"S" ina maana gani pale?
Huyu mwamba yupo sahihi kabisa.Hahahah mkuu fundi wako miyeyusho atakupiga hela mda si mrefu[emoji23]!
“Eco” ni kifupi cha neno Economy ama uchumi kwa maana ufanisi wa hali ya juu katika matumizi ya nishati ya mafuta katika gari yako.
Endapo hio taa itawaka basi tambua kuwa uendeshaji wako ni sahihi na unapelekea ulaji mzuri wa mafuta. Endapo utaanza kukanyaga race za ajabu ajabu zaidi ya 2.5RPM utaona hio taa inazima kuashiria uendeshaji wako ni mbovu na utachangia ulaji mbaya wa mafuta ya chombo chako.
So furahia hio alama zaidi kuliko kuwa na wasiwasi haina shida iko hapo kukupa marks za uendeshaji wako. Ikiwaka “Eco” maana yake upo on the right track ila ikizima kama ni ruti za mjini pekee jua tu utaenda sana sheli.
Kuhusu herufi “B” hio ni mahususi kwa engine braking. Unasukumia speed icontroliwe na engine kwenye miteremko
Huyu mwamba yupo sahihi kabisa.Hahahah mkuu fundi wako miyeyusho atakupiga hela mda si mrefu[emoji23]!
“Eco” ni kifupi cha neno Economy ama uchumi kwa maana ufanisi wa hali ya juu katika matumizi ya nishati ya mafuta katika gari yako.
Endapo hio taa itawaka basi tambua kuwa uendeshaji wako ni sahihi na unapelekea ulaji mzuri wa mafuta. Endapo utaanza kukanyaga race za ajabu ajabu zaidi ya 2.5RPM utaona hio taa inazima kuashiria uendeshaji wako ni mbovu na utachangia ulaji mbaya wa mafuta ya chombo chako.
So furahia hio alama zaidi kuliko kuwa na wasiwasi haina shida iko hapo kukupa marks za uendeshaji wako. Ikiwaka “Eco” maana yake upo on the right track ila ikizima kama ni ruti za mjini pekee jua tu utaenda sana sheli.
Kuhusu herufi “B” hio ni mahususi kwa engine braking. Unasukumia speed icontroliwe na engine kwenye miteremko
Hata nilikuwa sijuiS-Sharp inahold gear kwa muda mrefu (gari inachange gear kwenye higher RPM) inafaa kutumika kwenye overtaking
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa huyu fundi wake angeizimaje iyo taa Kama angepewa hiyo tenda? au angekata waya [emoji23][emoji23][emoji23]