bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,443
- 9,854
Wadau naamini JF naweza pata msaada juu ya hili suala?
Iko hivi kuna mkebe nimenunua hivi karibuni ila kuna kitu huwa nakiona kwenye dashboard huwa sikielewi, kitu chenyewe kinawaka kwa rangi ya "kijani" alafu yanatokea maandishi ya neno "ECO", kuna fundi nilimpelekea akanambia kuna shida kwenye Sensor gani sijui, akanambia kutengenezeka itahitajika laki moja na nusu, so nmeamua ni share na nyie wadau maana ni kama family kwangu.
Pia wadau nlikua naomba mnielimishe juu ya matumizi ya hiyo gia "S" n "B".
Iko hivi kuna mkebe nimenunua hivi karibuni ila kuna kitu huwa nakiona kwenye dashboard huwa sikielewi, kitu chenyewe kinawaka kwa rangi ya "kijani" alafu yanatokea maandishi ya neno "ECO", kuna fundi nilimpelekea akanambia kuna shida kwenye Sensor gani sijui, akanambia kutengenezeka itahitajika laki moja na nusu, so nmeamua ni share na nyie wadau maana ni kama family kwangu.
Pia wadau nlikua naomba mnielimishe juu ya matumizi ya hiyo gia "S" n "B".