witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Asante mkuu...mbona kwangu hayapo haya? Haki mda mwingi nafungua boneti sijawahi yaona[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]![]()
Kama hizi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu...mbona kwangu hayapo haya? Haki mda mwingi nafungua boneti sijawahi yaona[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]![]()
Kama hizi mkuu
Jaribu kuangalia vizuri kuna gari nyingine zipo fen mbili na nyingine ipo fen moja tuAsante mkuu...mbona kwangu hayapo haya? Haki mda mwingi nafungua boneti sijawahi yaona[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Haa ha ha ha ha ha..Umeuaaa mzeelabda tairi zimeisha upepo
hahaha[emoji23][emoji28][emoji23] aiseelabda tairi zimeisha upepo
Gari itapataje moto wakati imegoma kuwaka?Feni haitakiwi kuzunguka ikiwa engine haipo moto. Kazi yake ni kupoza maji ya radiator yanapofika umoto fulani, ikiwa hayo maji hayakufika huo umoto basi feni haitakiwi kuzunguka. Feni nyengine huwa ni kwa ajili ya AC ila i believe unazungumzia kuhusu feni ya kupozea maji ya moto. Jaribu kusubiria gari ipate moto ule mshale wa temp ufike katikati, kisha subiria, ukiona mshare unaendelea kuvuka kati na kupata na feni haifanyi kazi, zima gari tizama fuse. Katika fuse box itakuonesha fuse ipi ipo wapi na namba nayotakiwa, kama sikosei fuse ya feni la radiator ipo obvious imeandikwa FAN, icheki kama iko powa. Kama haipo powa badilisha. Ukiona bado, mpelekee fundi akutiamie Thermostat.
Labda we unachanganya na gari na bajaj!!Asante mkuu...mbona kwangu hayapo haya? Haki mda mwingi nafungua boneti sijawahi yaona[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Acha urongo..unatakiwa kufanya check up kila asubuh au kabla hujaanza safar ndefu...nyie ndiyo huwa mnaingia barabarani matairi hayana upepo au kuendesha magari mpaka enhine ina-knockGari ukishaanza kuinua bonet kila asubuhi hilo sio gari reliable bali ni ugonjwa wa homa ya gareji
Inaonekana huwa huzimi A.CUko sahii mkuu mimi yangu nikishaweka on tu feni zinaanza kuzunguka
Yah..labla gear shifter ipo kwenye DUkute unaangaika kuiwasha gari irina kwenye gia!!
Hebu ngoja nikague vizuri...thanks mkuuJaribu kuangalia vizuri kuna gari nyingine zipo fen mbili na nyingine ipo fen moja tu
Mkuu nimekuuliza wewe?....haaa haaaLabda we unachanganya na gari na bajaj!!
Kweli mkuu tatizo lilikuwa ni fuse tuKagua fuse, ipo mojawapo imeungua, ukiondoa hiyo nakuweka nyingine gari itawaka.
Kwa kuwa hata honi haipigi, hapo nikuwa moto(umeme) haufiki kabisa, Chunguza fuse.
Ahsante kwa kuleta mrejesho.Kweli mkuu tatizo lilikuwa ni fuse tu
Hahahah....umelinunua likubwa ili lisikuruke...safi sana.Nakua nalo mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahah....umelinunua likubwa ili lisikuruke...safi sana.Nakua nalo mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]