Njoo tubishane
Member
- Jan 6, 2018
- 39
- 34
Husika na kichwa cha habari gari aina ya toyota oppa d4.
Tatizo:leo kama kawaida nimeamka asubuhi nikaiwasha ikakubali baada ya hapo nikaiacha on nikaenda kufungua bonet kuangalia engine oil na mengineyo. Kuna kitambaa nilikuwa nimeshika cha kusafishia vioo lakini kwa bahati mbaya kikaingia kwenye yale mafeni yanayozunguka pale mbele:zipo mbili ila kiliingia kwenye feni moja na gari ikazima ghafra nikaswich off then nikatoa lile tambala nikajalibu kuiwasha ikakataa nikaachana nayo nikaenda job nikajua labda tatizo linaweza kuwa betri .sasa nimerudi mchana huu nimechukua na gari ya jamaa mwingine kajaribu kunibust imegoma.haitaki kupokea moto.
Nb.yale mafeni ni auto nikiwasha yalikuwa yanawaka lakini sasa hayawaki, hata honi limegoma kupiga.
Msaada wenu kabla sijapambana na fundi tatizo ni nini hasa
Tatizo:leo kama kawaida nimeamka asubuhi nikaiwasha ikakubali baada ya hapo nikaiacha on nikaenda kufungua bonet kuangalia engine oil na mengineyo. Kuna kitambaa nilikuwa nimeshika cha kusafishia vioo lakini kwa bahati mbaya kikaingia kwenye yale mafeni yanayozunguka pale mbele:zipo mbili ila kiliingia kwenye feni moja na gari ikazima ghafra nikaswich off then nikatoa lile tambala nikajalibu kuiwasha ikakataa nikaachana nayo nikaenda job nikajua labda tatizo linaweza kuwa betri .sasa nimerudi mchana huu nimechukua na gari ya jamaa mwingine kajaribu kunibust imegoma.haitaki kupokea moto.
Nb.yale mafeni ni auto nikiwasha yalikuwa yanawaka lakini sasa hayawaki, hata honi limegoma kupiga.
Msaada wenu kabla sijapambana na fundi tatizo ni nini hasa