Na mbaya zaidi ni piston 3,ukipata kamwinuko kidogo shirti ugandamize kwa nguvu acceleratiorKwa uzoefu tu engine ndogo kama hiyo 990cc sio suluhisho la gari kula vizuri mafuta,
Pili Kimara to Tegeta kupitia mwenge ni 25 km x 2 ni 50 km /5ltrs =10 km per litre hayo ni matumizi kawaida na sio high way tena mazuri sana kwa gari ndogo za toyota, nyingi zipo hadi 7 to 9 km per litre ? ?
Watu wengi wanakabiliwa na tatizo la uvivu wa kufikiri mkuuKwa uzoefu tu engine ndogo kama hiyo 990cc sio suluhisho la gari kula vizuri mafuta,
Pili Kimara to Tegeta kupitia mwenge ni 25 km x 2 ni 50 km /5ltrs =10 km per litre hayo ni matumizi kawaida na sio high way tena mazuri sana kwa gari ndogo za toyota, nyingi zipo hadi 7 to 9 km per litre?
Ni kweli mkuu nakumbuka nilmbeba dada mmoja yupo udom mwaka wa 2 Sasa ye anaish nkuhungu ,aliniomba nmsindike kwao nkamuulza kwa makadilio kutoka hapa town had kwenu ni km ngapi? akanijibu Mambo ya km ye hajuagi ila inaweza kua km 100 daa nilichekaa sanaaKwa uzoefu tu engine ndogo kama hiyo 990cc sio suluhisho la gari kula vizuri mafuta,
Pili Kimara to Tegeta kupitia mwenge ni 25 km x 2 ni 50 km /5ltrs =10 km per litre hayo ni matumizi kawaida na sio high way tena mazuri sana kwa gari ndogo za toyota, nyingi zipo hadi 7 to 9 km per litre??
Suluhisho la yote ni terios kid. Utafurahi na roho yako yaani mafuta kiduchu kama unatumia boxer 150Niliwahi kutumia PASSO Kutoka WAZO HILL hadi POSTA na kurudi kila siku kwa bajeti ya 10,000/=
Kikubwa ukiwa na Passo yako usitake kushindana na watu, hapo hutaona km ipo economy...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wengi wanakabiliwa na tatizo la uvivu wa kufikiri mkuu
Sijui ni Tanzania Afrika au ni dunia nzima. Mambo mengine ni madogo tu lakini mtu anajiona yeye hawezi mambo. Hayo mfano mama yangu Mimi siyo mzee sana ni mama tu wa makamo flani lakini Kuchukua kimashine cha luku na kuweka umeme tu mpaka aombe msaada, pesa kwenye simu mpaka mtu amtolee..
Usipaki mkuu utaiharibu moja kwa moja. Iuze au fanya uber hlf ununue usafiri mwngine utakaoweza kumudu.nimekoma ntaipaki ndani
Terrious kid ni bonge moja ya gari.kwenye mafuta sijawai kujuta na ni 4weel drive.kipindi Cha mvua wenye ist za kuhongwa uwa wanazipaki ndani barabara ya makoka natamba mie tu.K
Suluhisho la yote ni terios kid. Utafurahi na roho yako yaani mafuta kiduchu kama unatumia boxer 150
Hakika mkuu. Hapa mjapan alicheza kama samataTerrious kid ni bonge moja ya gari.kwenye mafuta sijawai kujuta na ni 4weel drive.kipindi Cha mvua wenye ist za kuhongwa uwa wanazipaki ndani barabara ya makoka natamba mie tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]hamna mahali inavuja nshaingia mpka uvunguni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iuze
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]kumiliki gari kwa mara ya kwanza kuna taabu zake....Watu wengi wanakabiliwa na tatizo la uvivu wa kufikiri mkuu
Sijui ni Tanzania Afrika au ni dunia nzima...
Mkuu passo haili km 10 per lt km haina tatizo, kukiwa na foleni kubwa labda imekula sana ni km 14 pr lt ikiwa hakuna folen ina kula had km 18 per lt, km 10 per lt..!Kwa uzoefu tu engine ndogo kama hiyo 990cc sio suluhisho la gari kula vizuri mafuta,
Pili Kimara to Tegeta kupitia mwenge ni 25 km x 2 ni 50 km /5ltrs =10 km per litre hayo ni matumizi kawaida na sio high way tena mazuri sana kwa gari ndogo za toyota, nyingi zipo hadi 7 to 9 km per litre ? ?
Wakati mwingine huwa siwaelewi kabisa watanzania, au shule huwa tunaenda kufanya nini tena elimu ya darasa la nne tu, hapo usoni dash board inakuhesabia km kama ulitaka kuipima ilikujua ulaji ungeleta angalau viwango viwili kwamba toka kimara na kurudi nimetembea km 52 na nimetumia lita 5 maanake gari langu linatembea km 10.4 kwakila lita moja JE ULAJI HUU WADAU MNAUONAJE ? ? Usishangae ana diploma au hata degree