General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Me natumia passo hapa. Ipo so economicalni kwel mkuu inanusa tu
km 100 daaah au alikua anamaanisha mita 100Ni kweli mkuu nakumbuka nilmbeba dada mmoja yupo udom mwaka wa 2 Sasa ye anaish nkuhungu ,aliniomba nmsindike kwao nkamuulza kwa makadilio kutoka hapa town had kwenu ni km ngapi? akanijibu Mambo ya km ye hajuagi ila inaweza kua km 100 daa nilichekaa sanaa
japo hulu lugari n ludogo balaa yaan hata ukiangalia cc zake yaan 600ccSuluhisho la yote ni terios kid. Utafurahi na roho yako yaani mafuta kiduchu kama unatumia boxer 150
Me natumia passo hapa. Ipo so economical
Usihofu kabisa kama ni mpya(showroom) nunua yenye engine 1298cc piston 4 HUTAJUTAHabari mkuu kaka brother. Bado unayo? Unajuta kuwa nayo? Kuna matatizo imekuletea? Ni kweli huwa inatetemeka mlimani? Nataka ninunue passo nishauri
Hii gari ni very economical especially kama unaishi mazingira ya barabara mbaya na vilima..utainjoi..Suluhisho la yote ni terios kid. Utafurahi na roho yako yaani mafuta kiduchu kama unatumia boxer 150
Kataguta"Umenunua UKIMWI...
Kuna dada mmoja ana passo yake kataguta mteja kakosaa....
Bora Vitz mara 1000..
Passo sio gar
Ooh kumbe, asante. nilikuwa ninafikiria kununua hili gari japo sikuwa na uhakika kwenye barabara mbaya.Vipi kwenye rough road ya km 14 kwa siku litamudu mkuu?Terrious kid ni bonge moja ya gari.kwenye mafuta sijawai kujuta na ni 4weel drive.kipindi Cha mvua wenye ist za kuhongwa uwa wanazipaki ndani barabara ya makoka natamba mie tu.
vip mkuu tatizo lako liliisha?maana mie nmekumbwa na tatizo hili japo yangu ni 1290cchabari zenu wana ndugu,
nimejichanga changa nimenunua ka passo kwa mtu lkn cha kushangaza kinakula mafuta vibaya nikiweka mafuta lita 5 natoka kimara to tegeta nakurudi inakua imeisha mafuta tatizo nn wadau.
nakaribisha maoni yunu nashukrani
View attachment 1140415