Sio sahihi. Kuna tatizo ama katika matumizi au gesi inavuja taratibu. Huwa unatumia kwa matumizi gani?
Ndugu yangu kuna wauzaji uchwara nadhani kuna kamchezo huwa wanafanya. mimi niliponunua mara yakwanza ulikaa 4 months, ulipoisha nikanunua tena ukakaa mwezi mmoja, niliponunua ukakaa 2 months...nimefanya research fupi hawaauzaji wa mtaani kuna mchezo wanafanya. mimi kwasasa nanunulia sheli naona average 2 months kwa hawa wengine 25-30 days.
jaribu kubadilisha unaponunulia utaona mabadiliko, na ukiona hakuna angalia matumizi ya nyumbani sio mazuri..
sijaona cha ajabu hapo, kama mnatumia gesi peke yake kwa watu wanne it is fair usage/
sijaona cha ajabu hapo, kama mnatumia gesi peke yake kwa watu wanne it is fair usage/
aangalie na matumizi yake! Kama wana ratiba ya kula makande mara 4 kwa wiki gas itadumu kweli!?!
kama alivyosema mwenzangu hapo juu ni kweli kuna usanii unafanywa na hawa dealers wa gesi,ukiwa unapimiwa kwanza hakikisha unaona reading za mizani na hakikisha iko zero,kisha utoe uzito wa mtungi wako ambao unakuwa steel-printed kwenye mtungi wako,hapo ndipo uakapojua,,,pia ujaribu kununua kwa dealers wengine,kama tatizo litaendelea nakushauri ukague pipe inayoenda kwenye plates na plates zenyewe ili kuhakikisha kwamba hazivujishi gesi,ikibidi badilisha kabisa...(ili kujua kama ni pipe inavujisha gesi,chukua maji yenye sabuni uparaze kwenye pipe kama kuna mahali imetoboka basi itatoa mapovu,fanya hivyo hivyo kwenye sehemu inapoingia kwenye mdomo wa plates.
cha msingi zaidi pia ukague Gas control valves,hizi hazitengenezeki kirahisi,so itabidi uingie mfukoni....pia kumbuka wakati unatumia sabuni ili kugundua leakage HAKIKISHA JIKO LAKO LIMEZIMWA.
nakutakia kila la kheri
kama alivyosema mwenzangu hapo juu ni kweli kuna usanii unafanywa na hawa dealers wa gesi,ukiwa unapimiwa kwanza hakikisha unaona reading za mizani na hakikisha iko zero,kisha utoe uzito wa mtungi wako ambao unakuwa steel-printed kwenye mtungi wako,hapo ndipo uakapojua,,,pia ujaribu kununua kwa dealers wengine,kama tatizo litaendelea nakushauri ukague pipe inayoenda kwenye plates na plates zenyewe ili kuhakikisha kwamba hazivujishi gesi,ikibidi badilisha kabisa...(ili kujua kama ni pipe inavujisha gesi,chukua maji yenye sabuni uparaze kwenye pipe kama kuna mahali imetoboka basi itatoa mapovu,fanya hivyo hivyo kwenye sehemu inapoingia kwenye mdomo wa plates.
cha msingi zaidi pia ukague Gas control valves,hizi hazitengenezeki kirahisi,so itabidi uingie mfukoni....pia kumbuka wakati unatumia sabuni ili kugundua leakage HAKIKISHA JIKO LAKO LIMEZIMWA.
nakutakia kila la kheri
Hapo inabidi uchek valve. Au hata nunua mpya ni kama 15 hivi. Mimi huwa natumia pia kupikia maharage lakini hufika miezi miwili.
Mkuu nimecheck valve kwa ukweli haipo tight! je wenzangu inakuwaje? is too tight or somehow loose? nimejaribu kusoma juu ya mfuniko wa valve kuna maandishi 30mbar na mtungi ninaotumia gross weight yake ni 30.2! je vitu hivi vinauhusiano?
hahaha....sipo dar mkuu,,,i only have free time on sundays,,,jaribu kufanya mwenyewe,naamini unawezaNjoo uniangalizie la nyumbani