Msaada - Gharama ya Kujenga Nyumba Hii..!!

Msaada - Gharama ya Kujenga Nyumba Hii..!!

Kama unaijenga kwenye kiwanja ambacho ni flat na barabara inafika mpaka kiwanjani, unahitaji mil 12 mpaka linta. Kislab kitakucost mil. 5. Kuezeka inategema na aina ya roofing materials utakazotumia. Kama utatumia bati za kawaida utahitaji mil. 3.5 kuezeka.
Kama utaweka grill na madirisha ya aluminium jumla itakucost 2.5 mil. Umeme iwapo hutahitaji kununua nguzo, kufanya wiring na kuvuta ni 2mil. Jumla mil. 25.
Hapo tayari unaweza kuhamia.

makorombwezo mengine ya tiles, ceiling, plastering and painting, plumbing, pavements, fencing, landscaping and gardening bei zake zina tofautiana mno kiasi kwamba haina maana kutoa kamadirio, unless uwe specif aina ya finishing unayotaka.
Nakubaliana na hesabu hii, nimejenga almost same size imecost around that. Nimefanya very high quality finishing.
 
Gharama ya kujenga nyumba na finishing kabisa kwa kutumia wataalamu ni tzs 500,000 kwa kila square meter. Kwa hiyo jua ni square meter ngapi za sakafu unazo mara hicho kiwango. Usiogope, zinaonekana nyingi lakini ukiweka kiduchu kiduchu wala hautajua umemalizaje.
Hesabu hii ya wataalam huwa inaleta gharama za juu sana. Mfano 120sqm itakuwa 60m.
 
Nicheki kwa 0784834208 tuongee mm ni QS nitakufanyia estimate cost zote za nyumba yako
 
h
Mkuu 2.5 ni figure tu njoo na mabati mangapi mbao kiasi gani na price pia fundi utampa ngapi hivyo hivyo na kwenye magrill
Hio 2.5million ya finishing ni uongo wa wazi wazi. (Gharama za mbao+Misumari+Mabati+Fundi etc) kwa makadirio ya chini kwa kutumia bati za kawaida haipungui 5Milion kwa bati nyengine zile haipungui 10Milion. Kwa aliyejenga anaelewa kwa ambae anatoa story za kusikia hawezi elewa haya.
 
Hivi juice mafisadi wamewaharibu kiasi iki?!
Milioni 250 kwa nyumba hiyo!!!
nmejifunza kuna aina 2 za mafundi........wale compasionate ambao ndo wametuwezesha wazee wetu kuitwa mababa wenye nyumba kama ZeMarcopolo na hawa ze rest wanaotufanya vijana tuone bora kuchukua mkopo wa gari million 20 tukiwaza kupiga dili ya million 200 .big up marcopolo hata kama sio aactual lakin naamini umeinfluence vijana wengi sana waanze jichanga kwa maelezo yako
 
Back
Top Bottom