Kama unaijenga kwenye kiwanja ambacho ni flat na barabara inafika mpaka kiwanjani, unahitaji mil 12 mpaka linta. Kislab kitakucost mil. 5. Kuezeka inategema na aina ya roofing materials utakazotumia. Kama utatumia bati za kawaida utahitaji mil. 3.5 kuezeka.
Kama utaweka grill na madirisha ya aluminium jumla itakucost 2.5 mil. Umeme iwapo hutahitaji kununua nguzo, kufanya wiring na kuvuta ni 2mil. Jumla mil. 25.
Hapo tayari unaweza kuhamia.
makorombwezo mengine ya tiles, ceiling, plastering and painting, plumbing, pavements, fencing, landscaping and gardening bei zake zina tofautiana mno kiasi kwamba haina maana kutoa kamadirio, unless uwe specif aina ya finishing unayotaka.