Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu hapo mnakuwa men 4 mixer 8 Diva's ziko na vichupi tu - Aisee ni kula ,kunywa na kutembeza P u m b u mpaka abdallah kichwa wazi awake moto ...Mkuu gharama ni hizi hapa Zanzibar
Day Charter – Tumbatu Island: $1,000.00 up to 10 pax, add $25/person if more than 10 pax.
Full Day Charter – Mnemba Island: $1,800.00 up to 10 pax, add $25/person if more than 10 pax.
Nungwi Bay Sunset Cruise: $100.00 per person (minimum 5 pax)
Sunset Dinner Cruise: $200.00 per person (minimum 4 pax)
SPECIAL! 24hr Overnight Yacht Cruise – Mnemba Island: $2,000.00 (Max 8 pax
Luxury Yachts Tanzania & Zanzibar Transfers
Stone Town – Nungwi/Kendwa: $2,500.00 (maximum 12 pax)
Stone Town – Dar Es Salaam: $3,500.00 (maximum 12 pax)
Dar Es Salaam – Nungwi/Kendwa: $3,500.00 (maximum 12 pax)
Si masaki [emoji23] wahindi na wazungu ndo mitaa yao ya kubarizi.... halafu watu wengi uswahilini hawapajuiSlipway ngozi nyeusi za kuhesabu sijui kwanini
Haina shida inalipikaNi kati ya 800k mpaka 1m inategemea na idadi ya watu...
Mmmh aisee ela ya kiwanja ishakwisha tayariMkuu gharama ni hizi hapa Zanzibar
Day Charter – Tumbatu Island: $1,000.00 up to 10 pax, add $25/person if more than 10 pax.
Full Day Charter – Mnemba Island: $1,800.00 up to 10 pax, add $25/person if more than 10 pax.
Nungwi Bay Sunset Cruise: $100.00 per person (minimum 5 pax)
Sunset Dinner Cruise: $200.00 per person (minimum 4 pax)
SPECIAL! 24hr Overnight Yacht Cruise – Mnemba Island: $2,000.00 (Max 8 pax
Luxury Yachts Tanzania & Zanzibar Transfers
Stone Town – Nungwi/Kendwa: $2,500.00 (maximum 12 pax)
Stone Town – Dar Es Salaam: $3,500.00 (maximum 12 pax)
Dar Es Salaam – Nungwi/Kendwa: $3,500.00 (maximum 12 pax)
@ 3500 usd yatching! Mweusi ni lazima apoteeSlipway ngozi nyeusi za kuhesabu sijui kwanini
Yatima tayari alishawapa mchongo.Kwanini usitafute kituo cha watoto ya tima ukatoa mchango wako hapo? Utabarikiwa mara 10000 kuliko risk ya kwenda baharini huko.
Kwanini usitafute kituo cha watoto ya tima ukatoa mchango wako hapo? Utabarikiwa mara 10000 kuliko risk ya kwenda baharini huko.
Kawasaidie watu wasiyojiweza utabarikiwa zaidi kwani hata hiyo bd niyakupita tu!!Wakuu msaada kuna hela nilikuwa nimetunza kwa ajili ya kununua kiwanja lakini baada ya kufanya tathmini ya kina nikaona nitakuwa nimwfanya kitu Cha kitoto hasa ikizingatiwa hapa duniani tunapita tu, sisi hapa duniani ni wasafiri.
Msaada nataka kujua Gharama ya kukodi boti hapo mjini kwa ajili ya Bata Kama wanavyofanya watoto wa mjini.
Vp na gharama ya totoz mbili tatu zakunisindikiza, zile ambazo unakuta zimejiachia nguo za ufukweni wakikata mauno , wakiwa wanarukaruka, pia nitahitaji huduma ya Picha professional. Boti liwe kubwa na jeupe. Vinywaji nitamchangia mshikaji wangu huwa anapiga hizo mambo.
Kaleta humu ili iweje kama siyo kutaka kupangiwa maisha?Ila wabongo tunakatabia cha kupangiana maisha...