Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani hiyo pikipiki ni boda ya biashara au matumizi binafsi tu.? Jibu hapo ili tuendelee.Nataka tu kujua pesa kiasi gani?
Unanipangiaje mkuu? Simu yangu, bando langu!! Alafu wew ndo upange ninachokikoment? Aiseee!!! We kiboko!!!Sasa kwanini unakielehele kukoment?
Swissme
Unanipangiaje mkuu? Simu yangu, bando langu!! Alafu wew ndo upange ninachokikoment? Aiseee!!! We kiboko!!!
Mkuu nina uhuru wa kukoment mradi tu sijakutukana. Naona una matatizo yako. Pole sana mkuu. Jumapiri njema. Kama nimekukwaza nisamehe.You don't have point na natumaini wewe ni walewale Bashite time.
Go back to school Dude
Swissme
Mkuu nina uhuru wa kukoment mradi tu sijakutukana. Naona una matatizo yako. Pole sana mkuu. Jumapiri njema. Kama nimekukwaza nisamehe.
Asante kwa elimu yako ya matusi. Mungu akusamehe.Pole najaribu kukuelimisha hapa jukwaani ni nyumbani kwa ma great thinker sasa unavyojipendekeza kuwa wa kwanza kukoment toa komenti ya kuweza saidia watanzania
Again go back to school Dude
Swissme
Vat inclusive hapo.kama ni ya biashara nenda na 72000 kama binafsi 59000
ww beba 59000 kama private na beba 72000 sijui 76000 kama cormecialVat inclusive hapo.