Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
- Thread starter
-
- #41
Kama upo Dar nenda HSC kule Ben Mkapa k'koo, jamaa wana magodoro poa sana...unajua kuwa ukikosea kununua godoro unahatarisha afya yako pia?
kumbe wewe umemwelewa,
manake godoro gani la kuulizia wakati yametapaa kila kona
kijana ebu tufafanulie hapa kamati ziingie kazini.
ni kama haya hapa:
mkuu nikipitaga huko, ntatafuta nchukue. 🙂Mwambie kule mwanza yako mengi tu.
Wakuu hali zenu,
Nimechanganyikiwa kidogo baada ya mfululizo wa matangazo ya magodoro. Lipi ni bora zaidi? Nataka nitafute 6x4, sasa sijui lipi litanifanya niote vizuri.
Shukran!
Godoro la pamba ndio zuri sananunua godoro lenye kunesanesa eti kaka Bujibuji lile godoro ambalo ukilalia linaspring linaitwaje vile ni spanco au? nimesahau jina nikumbushe
Godoro chapa mtu ndo mpango mzima
Yaani nimenunua godoro,nikilala usiku,nikiamka nakua nimechoka yaan mpaka kucha zinauma,tanfoam wabaya sana
Yaani nimenunua godoro,nikilala usiku,nikiamka nakua nimechoka yaan mpaka kucha zinauma,tanfoam wabaya sana
Pole sana St. Duh, yaani sijui nianzie wapi, naona sasa tanfoam wanaanza kuwa associated na kucha. lol
hahaha hata mimi ilinitokea ila sikuchoka hadi kucha...tanfoam arusha ni magodoro mazuri ila mwanzo likiwa jipya ujiandae kuchoka mwili mzima...ila ukishalalia wiki hivi basi uchovu unaisha....ila kiukweli ni magodoro imara sana kibongobongo unalalia mpaka unalichoka mwenyewe ila ubora unakuwa palepale....Yaani nimenunua godoro,nikilala usiku,nikiamka nakua nimechoka yaan mpaka kucha zinauma,tanfoam wabaya sana
nimenunua godoro si zaidi ya miezi minne iliyopita la banco , lile la size ya mwisho. Niliamini super banco ni zuri na wametoa guarantee ya mwaka. Lakini, sasa hivi ni chanzo cha kuamka shingo au mwili unauma kwani , godoro linabonyea chini.
Naomba uzoefu wa magodoro mengine, au ni spring mattress tu??