Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
- Thread starter
- #41
Kama upo Dar nenda HSC kule Ben Mkapa k'koo, jamaa wana magodoro poa sana...unajua kuwa ukikosea kununua godoro unahatarisha afya yako pia?
Ni kweli mkuu, ndo maana naamini kwa utaalamu wenu humu, nitatoka hima.
hapo HSC nitapita wiki ijayo nikiingia bongo, ili nithminishe na kuuliza dealers wao mikoani. niko Arumeru.
