Msaada: Godoro gani zuri?


Chukua la kampuni ile inayotamba bila ya kubadili matangazo kama Comfy

Mambo yote ni TANFOAM, wengine wasindikizaji tuu
 
Tanfoam ni zaid ya godoro. Mimi nilinunua mwaka 2006 hadi hii ni kama jipya. Liko poa sana hata kwa mambo fulan fulan kwan hupat maumiv ya mgongo kabisa
 
Tanfoam ni zaid ya godoro. Mimi nilinunua mwaka 2006 hadi hii ni kama jipya. Liko poa sana hata kwa mambo fulan fulan kwan hupat maumiv ya mgongo kabisa

Mkuu inaonekana wewe ni watchman huna muda wa kulalia ndo maana bado jipya.
 
Tanfoam mpango mzima adi unasahau hawa jamaa hawana matangazo ila magodoro yao ni 'mwisho wa reli' sijui kama huwa wanapata faida kwa maana godoro unatumia zaidi ya miaka 20 likiwa na ubora ule ule!

Miaka 20..?
 
Nunua la sufi ila jiandae kila asubuhi kuokota mbegu za sufi uvunguni.

Na panya wanavyopenda hizo mbegu, mbona watamkomesha mtu na hilo godoro! Wanakula mpaka wanajisahau kuwa saa ya kulala imefika hivyo mwenye godoro kaja kulala, hawachelewi kulaliwa wakiwa ndani ya godoro.
 
Tanfoam ni zaid ya godoro. Mimi nilinunua mwaka 2006 hadi hii ni kama jipya. Liko poa sana hata kwa mambo fulan fulan kwan hupat maumiv ya mgongo kabisa


Waheshimiwa,
Hawa Tanfoam original kwa Dar wanapatikana wapi. Maana siku hizi kama ni kuingia madukani tu lazima upate kitu "KIMECHAKACHULIWA"
 
Waheshimiwa,
Hawa Tanfoam original kwa Dar wanapatikana wapi. Maana siku hizi kama ni kuingia madukani tu lazima upate kitu "KIMECHAKACHULIWA"
Umeshajua Tanfoam yanapatikana wapi kaa dar?
Nataka kuwachukulia vijana wangu
 
Tanfoam ni permanent. Hutajutia pesa yako. Usijali matangazo kwani kibaya chajitembeza na chema chajiuza! Usijali bei.
 
TANFOAM mambo yote.
Niniayo mawili. Moja ni alilonunua mzazi wangu (zaidi ya miaka 20 ilopita) na wala halijabonyea. Siku hizi na wameanza kutangaza japo kwa mabango barabarani huku Arusha. Jihadhari yapo bandia mengi sana. Kagua uone muhuri wa moto kwenye godoro. Bora ununue lisil na foronya.
 

Jamani magodoro hua yana expire baada ya miaka mitano. katupe hilo la miaka 20 litakuletea kunguni nyumbani kwako.
 
Tanfoam ni zaid ya godoro. Mimi nilinunua mwaka 2006 hadi hii ni kama jipya. Liko poa sana hata kwa mambo fulan fulan kwan hupat maumiv ya mgongo kabisa

2006 hadi leo si mchezo.... miaka mingapi jumla hapo
 
Nilinunua Tanform 2001,6*6.Hadi sasa nalitumia.Na bado halijaonesha kuchoka.Ninafikiri kuwaachia wajukuu.
 
Tanfoam mpango mzima adi unasahau hawa jamaa hawana matangazo ila magodoro yao ni 'mwisho wa reli' sijui kama huwa wanapata faida kwa maana godoro unatumia zaidi ya miaka 20 likiwa na ubora ule ule!
Tupia bei mkuu maana nyumbani kwangu sasa kama massage palor!unalala kwa maumivu unaamka kwa maumivu ,kwa hiyo fast thing fast kufanyiana massage halafu maisha ndio yendelee !maana hata na watoto wana complain shingo mgongo we acha tu!
 
Beba Tanfoam sahau matatizo

ANGALIZO: Ziko Tanfoam feki. Nimewahi kununua Tanfoam pale Arusha tena ina muhuri wa TANFOAM LAKINI KUMBE ILIKUWA FAKE na haikumaliza miaka 2 kwisha.

So uwe makini nunua sehemu zinazoaminika au ukiweza nenda KIWANDANI MOJA KWA MOJA ARUSHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…