Msaada: Hali yangu nashindwa ielewa. Je, ina maana yoyote kiroho?

Msaada: Hali yangu nashindwa ielewa. Je, ina maana yoyote kiroho?

Joined
Mar 21, 2024
Posts
30
Reaction score
135
Kuna muda napata ideas fulani akilini na moyoni mwangu kuwa nifanye na muda huo huo akili inasema ukiifanya hii inaweza badili maisha yako, lakini napo taka kuanza kuifanyia kazi, nashidwa kuendelea na roho nyingine nyuma Ina nambia muda Bado utafanya tu baada ya miezi kadhaa,Kisha na cease na idea hiyo.

Mfano, Kuna idea Ilikuja ya kuandika proposal project kwenda tasisi moja ja ki elimu hapa jijini, Nika Anza kabisa kui draft lakini badae moyo ukasema acha.

Cha ajabu wiki moja kuna mtu kapeleleka project proposal kama hiyo bodi ya tasisi hiyo imeikubali na imempa kazi kama ya kudumu na kama controller wa project hiyo
 
Kuna muda napata ideas fulani akilini na moyoni mwangu kuwa nifanye na muda huo huo akili inasema ukiifanya hii inaweza badili maisha yako, lakini napo taka kuanza kuifanyia kazi, nashidwa kuendelea na roho nyingine nyuma Ina nambia muda Bado utafanya tu baada ya miezi kadhaa,Kisha na cease na idea hiyo.

Mfano, Kuna idea Ilikuja ya kuandika proposal project kwenda tasisi moja ja ki elimu hapa jijini, Nika Anza kabisa kui draft lakini badae moyo ukasema acha........Cha ajabu wiki moja Kuna mtu kapeleleka project proposal kama hiyo bodi ya tasisi hiyo imeikubali na imempa kazi kama ya kudumu na kama controller wa project hiyo


Kuna haya mambo

Intuition
Fearnes
Procrastination

Ukitazama hayo mambo hapo juu utaona taizo lilipo wala sio tatizo la kiroho.

Intuition is divine power ,that deals with insight

Fear , ni uogoa /hofu.

Procrastination - ni hali ya kuharisha mambo hii huwa ni tabia na wala haia uhusiano na spiritually issues .

So hapo unabidi kuisikila sauti yako ya ndani ambayo huitwa intuition hii huongea na wewe kiupole .

Then ukimaliza Fanya hivi

Hakikisha unaiua hofu na kuwa fearless usiwe na hofu.

Then unabidi kuia procrastination ,hali ya kupenda kuharisha mambo .

kuhusu kuwa na wazo ukaogopa kulifanyia kazi hii hutokea Sana.

Ntaendelea ....
 
Kuna haya mambo

Intuition
Fearnes
Procrastination

Ukitazama hayo mambo hapo juu utaona taizo lilipo wala sio tatizo la kiroho.

Intuition is divine power ,that deals with insight

Fear , ni uogoa /hofu.

Procrastination - ni hali ya kuharisha mambo hii huwa ni tabia na wala haia uhusiano na spiritually issues .

So hapo unabidi kuisikila sauti yako ya ndani ambayo huitwa intuition hii huongea na wewe kiupole .

Then ukimaliza Fanya hivi

Hakikisha unaiua hofu na kuwa fearless usiwe na hofu.

Then unabidi kuia procrastination ,hali ya kupenda kuharisha mambo .

kuhusu kuwa na wazo ukaogopa kulifanyia kazi hii hutokea Sana.

Ntaendelea ....
Hiyo hali ya kughairisha mambo ilikua inanicost sana sana.

Akili yangu inapenda sana raha raha tu, sasa ikitokea kuna option 2 , unachagua ile rahisi zaidi mwisho wa siku inakugharimu.
Sasa hivi nimeachana na hilo jinamizi la kuogopa kuface challenges.
 
Hiyo hali ya kughairisha mambo ilikua inanicost sana sana.

Akili yangu inapenda sana raha raha tu, sasa ikitokea kuna option 2 , unachagua ile rahisi zaidi mwisho wa siku inakugharimu.
Sasa hivi nimeachana na hilo jinamizi la kuogopa kuface challenges.


Nikirudi baadae tutamsaidia mtoa mada ktk hayo mambo

Adversity
Challenge
Problems

Kuharisha mambo hutokana na kuogopa hayo mambo.

Success ni zao la changamato ,vikwazo na matatizo .

I agree with you
 
Back
Top Bottom