Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

umalaya tu hapo unasumbua. Ngoja upigwe kibuti. utajua.
 
Ni ule mwendelezo wa Dreaming is free. Hakunaga vat kwenye dream acha watu wadream wewe kaa na vindoto vyako viduchuuu

Nakupungia lakin sister angu.
Hivi kutunyima mtunyime hata kuota tu jamani napo tunyimane!!!
 
Nunua dildo ,wanawake kweli huwa haturidhiki hata tupewe nini
Hata mie nilimshauri hivi akacheka tu,
Dah kumbe na mimi noma ee?!

Post za hv nikutaka tu kuwadhalilisha wanaume,mtu kama hauridhiki na maumbile yake kwa nn usimwambie ukweli jamaa aache kuincur costs za ajabu ajabu,hakika viumbe wa dizaini hyo hawana tofauti na wauaji

Aisee sio kwamba unamwonea wivu?!


Kiruu! MARAHABAAA!
 
Hadithi ilikua nzuri na ya kuvutia ila ilikuja kuharibika pale uliposema jamaa ana Pesa mzee Mengi atasubiri miaka 100! Hapo pamenitia chumvi labda nipo jukwaa la utani na vichekesho
 
Maumbile yako yamezidi ukubwa
Basi sawaa!

unajiuza?
Nijiuze nimekosa nini labda?! We una shida na nimeshaku report watakutoa muda si muda

Hivi kutunyima mtunyime hata kuota tu jamani napo tunyimane!!!
Ahahaha ni sheedaaaah! Watuacheeeee kwa raha zetu- in Issa Mashauzi's voice

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
The struggle is real my bro hata laki mtu anapokea kiru! Asante tumenyooka mzee wangu!
Kweli mkuu. Ukilia lia kuwa mselaa ana kibamia ujue tatizo sio yeye! Wewe ndo jipu una shimo kama mgodi wa makaa ya mawe
Sawa hata kama ana shimo kwani dada wa temeke yeye ndo alimfuata?! Si mjeda kajishoboa mwenyeweee?! Eh makubwa!
 
Huyo dada atakuwa na shimo la kuzalishia migodi
Aseee aya buanaa

Hadithi ilikua nzuri na ya kuvutia ila ilikuja kuharibika pale uliposema jamaa ana Pesa mzee Mengi atasubiri miaka 100! Hapo pamenitia chumvi labda nipo jukwaa la utani na vichekesho
Miaka 1000
Tatizi wa Tz mmekremu matajiri wa Tz mnawajua 4 tu - Mengi, Mohammed Enterprise, Manji na Bhakresa
Nenda kasome top 5 riches people in Tanzania na Top 10 wealthiest people in Tz ukuondoa Maraisi kwenye gazeti ta Forbes la mwaka 2015 na 2016

Muwe global basi mnaniabisha ivoo
 
Story ya magazeti hii(changamsha genge au hadithi uchwara).
Ila kama ni kweli basi wewe ni kahaba uliyeshindikana,ndo hasara za umalaya hizo,hutaridhika kamwe hata uchomekwe tikiti maji.
Sipati picha una shimo kubwa namna gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…