Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

Njoo PM nikuelekeze nikupe dawa ya kupunguza K. huenda jamaa hana kibamia ila K ndiyo kubwa kupitiliza. Halafu inaonekaka hujui mwanaume mjeda ni mwanaume wa aina gani. huyo wako si mjeda!
 
Asije Muacha Uyo jamaa

Ila atafute mtu ambae ni mwaminifu Awe nae wawe wanawasiliana kwa SIRI Sana

Na kama mjeda Huwezo wa kukupa Mimba hana

Bass huyo mtu Utakae Kuwa nae Kubali Akutie Mimba

NB usibweteke Na Aptment anazokupangishia

Tafuta nyumba Nzur ya kuish ya kwako yenye Hati yako

Weka milad yako Mingi Ya pesa

Baadhi ya milad yenu iwe na Hati Ya jina lako

Bahati haiji Mara mbili
 
Asije Muacha Uyo jamaa

Ila atafute mtu ambae ni mwaminifu Awe nae wawe wanawasiliana kwa SIRI Sana

Na kama mjeda Huwezo wa kukupa Mimba hana

Bass huyo mtu Utakae Kuwa nae Kubali Akutie Mimba

NB usibweteke Na Aptment anazokupangishia

Tafuta nyumba Nzur ya kuish ya kwako yenye Hati yako

Weka milad yako Mingi Ya pesa

Baadhi ya milad yenu iwe na Hati Ya jina lako

Bahati haiji Mara mbili
Asante sana wangu Mungu akubariki

Naona umekuja na ID nyingine Tena we mrwanda.. Nitaendelea kukupiga kama Askofu G anavyompiga Bashite.. Pumbaaaavuu mkubwa wewe, tone ya kiume kabisa.. Halifichiki pembe la ng'ombe
ID IPI LABDA?! au nikusemehe kwa coordinator unaleta matusi upewe ban?!
Embu tupishe sisi tunatafuta suluhu za maisha

Ivi Kibamia ndo kikoje????? Maana huwaga sizielewagi saizi zake
Nenda google andika small penis utakiona ndio kibamia

Million Yan zaidi ya mshahara wa mhitimu wa shahada kwa mwezi
Mpendwa tembea uone watu wanaingiza faida mil 50 kwa mwezi mi 1 kuhonga haisumbui bro!
 
Asante sana wangu Mungu akubariki


ID IPI LABDA?! au nikusemehe kwa coordinator unaleta matusi upewe ban?!
Embu tupishe sisi tunatafuta suluhu za maisha


Nenda google andika small penis utakiona ndio kibamia


Mpendwa tembea uone watu wanaingiza faida mil 50 kwa mwezi mi 1 kuhonga haisumbui bro!
Dats Gud mkuu umenena
 
Post za hv nikutaka tu kuwadhalilisha wanaume,mtu kama hauridhiki na maumbile yake kwa nn usimwambie ukweli jamaa aache kuincur costs za ajabu ajabu,hakika viumbe wa dizaini hyo hawana tofauti na wauaji
 
Hahahahahah

Mi huwa naamini hivi

"Mwanamke ni kiumbe Wa ajabu sana duniani pengine kuliko kiumbe yeyote"

"Usimwamini mwanamke hata kama ni mama yako mzazi" (hapa namweshimu tu lakini imani yangu kwake haipo kwa 100%)

"Ishi na mwanamke kwa akili kubwa sana kuliko unavyoweza kuishi na NG'E kwenye nyumba yako"

"Silaha bora dhidi ya mwanamke ni UONGO yaani ni kama chanda na Pete mwanamke huona uongo ni ukweli na ukweli na uongo"

"Unaweza kutumia kama kipimio cha uaminifu Wa mwanamke hata 500 tu ina impacts kubwa "

Japo tunaishi katika karne ya 21 mtazamo wangu juu ya wanawake ni kama enzi za 10,BC

Wanawake shikamoooni
 
Back
Top Bottom