Kuna jamaa yangu amenunua truck na trailers kutoka Netherlands kwenye kampuni flan hivi.
Aliwasiliana nao na kutuma pesa toka mwezi juni mwanzoni, tatizo limekuja kwenye shipment ya hizo trucks. Kwa kweli kwa sasa jamaa hawaelewi kwani nikiwapigia simu wanaongea but information zinajichanganya na kutia mashaka.
Anaomba kama kuna mtz yupo Nertherlands au unamfahamu mtu anayeweza kusaidia, tafadhali tunaomba msaada huo ili atusaidie kufatilia.
Wakuu nime-edit post kidogo kwa sababu za kipelelezi kidogo. (I mean nimehide baadhi ya taarifa)-mkuu Belinda na Bobby nadhani tuko pamoja.
Aliwasiliana nao na kutuma pesa toka mwezi juni mwanzoni, tatizo limekuja kwenye shipment ya hizo trucks. Kwa kweli kwa sasa jamaa hawaelewi kwani nikiwapigia simu wanaongea but information zinajichanganya na kutia mashaka.
Anaomba kama kuna mtz yupo Nertherlands au unamfahamu mtu anayeweza kusaidia, tafadhali tunaomba msaada huo ili atusaidie kufatilia.
Wakuu nime-edit post kidogo kwa sababu za kipelelezi kidogo. (I mean nimehide baadhi ya taarifa)-mkuu Belinda na Bobby nadhani tuko pamoja.