Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Acha ujinga weweOk ok ok, Basi pay her off ili asikusumbue Tena! Wengine huwa tunatamani kumwacha Kila kitu ili kuondoa ghasia, we bado unajishauri kumpa sehemu ya mlichochuma mpaka ushikiwe combo (mwanasheria/mahakana) ya Nini yote haya ya kujidhalilisha!
Hakuna Kitu Kama hicho. Haitakuja tokea.Tafuta mwanasheria mzee huyo dada ataku-out smart
Mimi nimefanya kazi ustawi wa jamii na nimesimama mahakamani Mara kadhaa kutoa social inquiry report ya haya Mambo.Acha Basi kumpoteza mwenzio, usumbufu wote huo wa Nini! Mwanasheria atamlipa maneno! Sheria ya ndoa unaijua kweli we! We mpoteze mwenzio! Hapa mawili, mlipe au bariki ndoa, mengineyo utakuja Tena hapa ukilialia hasa akipata kocha mzuri huyo mkeo!
Athubutu aone, kuishi naye kama mke zaidi ya miezi 6 hiyo ni ndoahamkuwa na ndoa hana cha kuchukua
Miaka 3!Asante Mkuu ngoja nisubir maana Jana alienda kwa balozi na nasikia anataka kwenda ofisi ya Kata
Sheria gani inayosema hivyo?Athubutu aone, kuishi naye kama mke zaidi ya miezi 6 hiyo ni ndoa
Mnakoseaga sana, single parent tumewazalisha sisi, ni wanawake, wanahisia, wanaweza kupenda tena.Ila watu bana Single maza hawezi kukupenda hata siku moja alikuja kwako kwa ajili ya maslahi mapana ya kwake na mtoto wake now anataka kuchuma mali asepe hahahaa.
Nawewe udai hayo matunzo uliomtunzia mtoto wake,[emoji23][emoji23][emoji23] tena piga hesabu kabisaVipi kuhusu Mimi kumtunza mtoto wake
Duu kwahiyo naye anaenda kuunga tela la masingle mother huenda ni karoho kao hawawezi kuishi na ndoaKweli maana ata mamaake aliachwa hivyo hivyo anaishi mwenyewe mwenye.....kuanzia bibi MTU hadi mjukuu Ni ma(single mother's).....
Kwahiyo aachane na kesi bali akasawazishe mambo ndoa iendelee, naye mama mkwe vipi kuingilia ndoa ya mtoto wake mpaka matusi? [emoji23][emoji23] kuna wamama wamepinda kweliAcha Basi kumpoteza mwenzio, usumbufu wote huo wa Nini! Mwanasheria atamlipa maneno! Sheria ya ndoa unaijua kweli we! We mpoteze mwenzio! Hapa mawili, mlipe au bariki ndoa, mengineyo utakuja Tena hapa ukilialia hasa akipata kocha mzuri huyo mkeo!
Mbona unaziruka "comments" zinazokupa majibu stahiki? Huyo mkeo kisheria, kama unataka aondoke sharti mgawane kilichopatikana tangu mlipoanza kuishi pamoja. Iko hivyo.
Naona bush lawyers mmekomaa kujaza uongo hapa. Hebu nenda kasome kifungu 160(1) cha Law of Marriage Act. Sijui hii miezi mitatu/ sita nyie watu mnaitoa wapi!?kwa mjibu wa sheria zipo ndoa za aina tatu,moja ndoa ya kiimani yaani kanisani au msikitini,pili ndoa ya bomani au serikali na mwisho ndoa ya kiimila hii ni lazima upate baraka za wazazi wa pande zote ikiwa ni pamoja na kulipa mahali . kama mulipitia ndoa kati ya hizo tatu basi ana haki ya kudai mgawanyo wa mali ambazo mlichuma pamoja na si alizokuta . kikubwa simama kuwa huyo alikuwa rafiki wa kike sio mke maana ukisema alikuwa mke pia sheria inamtambua maana mkikaa zaidi ya miezi mitatu akipika na kupakua sheria inamtambua pia hivyo simama na kuwa alikuwa rafiki wa kike na hamkuwa na makubaliano yeyote ya kuishi pamoja bali ni kuchovya tu
Achana na hayo....nimekumisije[emoji3531][emoji3531][emoji126]Kama ni suala la kutunza wote wametunzana, mbona kiuhalisia wanawake mnakubali nyinyi ni wategemezi kwa ME, lakini mkikaa mbele ya halaiki mnaongea habari ya 50/50!
Hamna kitu kama hichoHata yeye ameuvuruga mtwangio wa mwenzako kwa miaka 3.
Na katika hiyo miaka 3 alikuwa anakula,anavaa,analala bure.
Kwa hiyo hapo ni ngoma droo kama ni muda wote wamepotezeana.
Hapana mkuu
Sasa kama utajenga uandike jina la mzazi sasa huyo mke wanini, si ukae bila kuoa tu huyo mke akae kwako kama back 3? Utakuwa bado mtoto haujakuwa, vipi wewe baba yako alikuwa akiandika majina ya babu yako na mama yako hana chake kwa baba yako? Acha utoto kuwa mwanaume!True huyu niliyenaye mwezi ujao naenda kwao..na hili ni funzo siku nikiamua kujenga nyumba nyingine kuanzia Kiwanja naandika jina la mzazi wangu na sitomshirikisha mke