mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
mapenzi sio ugomvi bali ni starehe ya watu wawili. Kwani mapenzi aliumbiwa kufaidi mwanaume peke yake?unafahamu kwamba raha ya mapenzi anayoipata mwanamke ni mara 20 ya mwanaume?
Sasa ni kwa nini raha upate halafu bado ulipwe huo ni ujambazi
Sasa ni kwa nini raha upate halafu bado ulipwe huo ni ujambazi
Hamna kitu kama hicho
Hivi unapochapwa bakora kinachoumia ni bakora au anayechapwa?