mdhamini wangu hana kadi ya kupigia kura ,hana pasi ya kusafiria na hana kitambulisho cha utaifa lakini ana kitambulidho cha kazi! je tunaweza kutumia hicho kama kiambatanisho?
very interesting. kitambulisho kina picha yake na sehemu anayofanyia kazi na na zoezi likiwa mbele ya Commisioner of Oaths - sijui kama kuna tatizo hapo. kuna watu hawapigi kura na wamepoteza na hawajasafiri katika muda mfupi watakuwa na njia ya kutambuliwa katika jamii
mdhamini wangu hana kadi ya kupigia kura ,hana pasi ya kusafiria na hana kitambulisho cha utaifa lakini ana kitambulidho cha kazi! je tunaweza kutumia hicho kama kiambatanisho?