Msaada hichi ni nini? Pumbu linawasha

Msaada hichi ni nini? Pumbu linawasha

Kwenda hospital atakuwa anaona aibu ila mkuu dawa za hospital maumiv sio ya nchi hii tafuta maji ya matawi ya mlimao week 1 utakuwa umepona tayar
 
Mkuu tafuta antifungal cream paka kwa wiki tatu then njoo ulete mrejesho.
Ila usiache kuzingatia kanuni za usafi kama wadau wengine walivyokulekeza.
 
Back
Top Bottom