Msaada hichi ni nini? Pumbu linawasha

Msaada hichi ni nini? Pumbu linawasha

Huo ndo uanaume jibaba...oga maji safi na medicated sabuni yoyote, jikaushe na kitambaa kisafi...mara tatu kwa siku.Hakikisha unavaa 'boksa' za cotton na ziwe safi...vaa moja kwa siku.Slow down men at work.
 
Mkuu dogo tulimpiga detol ebhana dogo alilia usiku kucha sijui salimia itakuwaje
Salimia ni hatari kaka nilishawai kuchua mgongo nikakosea nikapashika huko siku hiyo nilijuta yaan mkojo unataka kuja hauji halafu kama pilipili kichaa ikikuwasha mdomo weeee nililia bahati nilikua site halafu usku yaan salimia acha
 
Hiyo ni fungus, husababishwa na unyevu wa nguo za ndani, joto na kutobadili nguo ya ndani kwa wakati au kuvaa ikiwa haijakauka vizuri.
tiba
kwanza huko ikulu kuwe safi muda wote acha kuvaa boxer vaa hata bukta zisizo bana pia wakati wa kuoga jikaushe maji vizuri na mwisho kabisa acha kende hizo zipigwe hewa mkuu.
Wanao kushauri sijui ujipake nini, aise acha hiyo sehem ni very sensitive mkuu utajuta zaidi labda oga na sabuni kama dettol.
Isipo saidia nenda kamwone doctor...
 
Huo ni ujinga kutuonesha humu kwani humu kuna madokta Si uende hospitali
Ninyi ndio mlio vamia jf bila kujua mmekuja huku kufanya nini.
Angalia mada imepostiwa kwenye jukwaa gani ndio u comment, kama hayakuhusu pita kimya.
 
Tajiri vip tena tajiri, umekasa hata mchuchu wa kukushave mkuu.
Ila umenichekesha jman, dah sijawah ona kitu chenye sura hyo we siyo wa nchi hii
 
Back
Top Bottom