Msaada: Hii mimba imetokeaje?

Unataka kujua nin?wakati ilo suala ni lakawaida?
 
Hakuna viungo vya mtoto vilivyotoka hapo, ile sindano ya depo provera ni manufactured hormones sawa na zile zinazozalishwa na miili yetu. Hakuna madhara yoyote kwenye embryogenesis.


Ashukuriwe Mungu kwa hilo mana huwa tunatushwa sana kwa sisi ambao hatuna elimu ya kutosha juu ya huo mpango wa uzazi.
Kila unaye kutana naye ana mtazamo tofauti hata hao wataalamu wa afya so huwa inaniwia vigumu kujua ukweli.
 
Ilipotimia mwezi mmoja na wiki mbili ndio alienda kuchoma sindano ina maana walianza kabla.
 
iyo nayo ni KOKORO
 
Uzazi Wa mpango kuna wengine unawakataa ni yako hiyo mkuu100%
 
yaani umesema jambo liliwahi kutokea kwetu kama kwako!
ndiyo mkuu kuna dawa nilipewa za kunywa ila nakawa mzembe kunywa kwa hiyo wakati mwingine naingia mp kawaida.. ila nilivyofika miezi mitano ikaacha kabisa.. japo dokta aliniambia ni dalili za miscarriage siyo jambo zuri
 
ndiyo mkuu kuna dawa nilipewa za kunywa ila nakawa mzembe kunywa kwa hiyo wakati mwingine naingia mp kawaida.. ila nilivyofika miezi mitano ikaacha kabisa.. japo dokta aliniambia ni dalili za miscarriage siyo jambo zuri
Mh! kama mlizaliwa na baba mmoja kwa tabia hiyo....
 
Mh! kama mlizaliwa na baba mmoja kwa tabia hiyo....
ha haha mkuu usiseme hivyo.. kama mnahitaji mtoto aende hospital watampa dawa ameze ila sasa hizo dawa mh za kunywa kila siku yani zinatia uvivu na karaha... ajitahidi anywe
 
ha haha mkuu usiseme hivyo.. kama mnahitaji mtoto aende hospital watampa dawa ameze ila sasa hizo dawa mh za kunywa kila siku yani zinatia uvivu na karaha... ajitahidi anywe
nimemwambia 'astaafu' hayo mambo maana hali ya uchumi kwa sasa mpaka miaka 9 ipite ni mbaya..
 
Kwa jinsi ulivyoandika maelezo yako ni kama una wasiwasi na ujauzito huenda ikawa si wako.

Ushauri wangu kama amejipima mwenyewe nyumbani, mpeleke hospitali kufanya vipimo zaidi, hizi dawa za uzazi wa mpango zinaweza kumfanya mwanamke akajihisi ana mimba kumbe hana. Kama anayo utajua ina muda gani. Ukijua mimba ina muda gani itakuondolea wasiwasi ulionao. Naamini huenda iliingia mapema hata kabla ya mkeo kuchoma sindano na sio tarehe ya mwisho uliosex nae. Kupata damu ya hedhi inawezekana sababu ya sindano.

Ila mkuu, baada ya mwezi tu umeanza kumpelekea moto wife hata geji haijarudi level yake...au ndio kuzibua masikio?
 
Duu mtoto Ana miezi mitano,huku wife mjamzito?...mhhhh changamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…