mike2k
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 1,571
- 3,448
HELLO WA MMU
Jamani nina shida inanisumbua kichwa mpka na usingizi nimekosa...iko hivi wife wangu alijifungua 28/06/2016...baada ya mwezi mmoja na ka wiki mbili 15/08/2016 akchoma sindano ya kuzuia mimba...kuanzia hapo nikawa nagegeda kama kawaida.
sindano hii hufanya kazi kwa miezi mitatu kwa hiyo ingeisha matumizi 15/11/2016.kipindi chote hicho amekuwa akiona hedhi yake kama kawaida kila ifikapo...kila mwezi..mara ya mwisho nimesex naye 28/10/2016 niliondoka na kwenda masomoni na mwezi wa 11 ameona siku zake kama kawaida...
kinachonichanganya ni kwamba mwezi huu wa 12 hajaona siku zake...Jana kapima mwenyewe kajikuta ana mimba..na sasa hv anahisi kama mtoto anacheza..tarehe 15/11/2016 alichoma sindano nyingine ya kuzuia mimba....
wadau naombeni mnisaidie hapa ushauri....hii mimba imeingiaingiaje wakati mara zote hizo bleed ameona??na mara ya mwisho kulala naye bleed kaona...sasa baada ya mwezi ndo ananiambia ana mimba?
Naomba kujua je unaweza kuwa na mimba na hedhi ikatoka kama kawaida?mtoto tuliyeko naye ana miezi mitano
UPDATE
Yaani ukweli wa mungu huyu binti kuwa na mimba ni msala sana kwangu kiukweli anatakiwa arudi skul coz mtoto wa kwanza alimpatia skull.sasa mimi now najianda arudi shule mwezi wa kwanza alafu ndo ananiambia tena habari za mimba...yaani haipatani na akili kabisa...kwanza ndugu zake wataninyonga kwa maana hawatonielewa kabisa...hivyo hvyo na kwa ndugu zangu pia.....yaani hilo suala halitoeleweka kabisa kabisa....yaani mimi solution yangu kwake ni akubali tu aitoe kwa maana hamna namna yoyote shuleni lazima arudi...yaaani sijui nina nuksi ghan mimi JAMII NILIYOPO IKIJUA hii ni aibu ya mwaka...sijui nitaficha wapi sura yangu...nachanganyikiwa kabisa
Jamani nina shida inanisumbua kichwa mpka na usingizi nimekosa...iko hivi wife wangu alijifungua 28/06/2016...baada ya mwezi mmoja na ka wiki mbili 15/08/2016 akchoma sindano ya kuzuia mimba...kuanzia hapo nikawa nagegeda kama kawaida.
sindano hii hufanya kazi kwa miezi mitatu kwa hiyo ingeisha matumizi 15/11/2016.kipindi chote hicho amekuwa akiona hedhi yake kama kawaida kila ifikapo...kila mwezi..mara ya mwisho nimesex naye 28/10/2016 niliondoka na kwenda masomoni na mwezi wa 11 ameona siku zake kama kawaida...
kinachonichanganya ni kwamba mwezi huu wa 12 hajaona siku zake...Jana kapima mwenyewe kajikuta ana mimba..na sasa hv anahisi kama mtoto anacheza..tarehe 15/11/2016 alichoma sindano nyingine ya kuzuia mimba....
wadau naombeni mnisaidie hapa ushauri....hii mimba imeingiaingiaje wakati mara zote hizo bleed ameona??na mara ya mwisho kulala naye bleed kaona...sasa baada ya mwezi ndo ananiambia ana mimba?
Naomba kujua je unaweza kuwa na mimba na hedhi ikatoka kama kawaida?mtoto tuliyeko naye ana miezi mitano
UPDATE
Yaani ukweli wa mungu huyu binti kuwa na mimba ni msala sana kwangu kiukweli anatakiwa arudi skul coz mtoto wa kwanza alimpatia skull.sasa mimi now najianda arudi shule mwezi wa kwanza alafu ndo ananiambia tena habari za mimba...yaani haipatani na akili kabisa...kwanza ndugu zake wataninyonga kwa maana hawatonielewa kabisa...hivyo hvyo na kwa ndugu zangu pia.....yaani hilo suala halitoeleweka kabisa kabisa....yaani mimi solution yangu kwake ni akubali tu aitoe kwa maana hamna namna yoyote shuleni lazima arudi...yaaani sijui nina nuksi ghan mimi JAMII NILIYOPO IKIJUA hii ni aibu ya mwaka...sijui nitaficha wapi sura yangu...nachanganyikiwa kabisa